Natamani kujua maisha ya marehemu Al Habib Alhaji Aziz Massanga (Zingizi)

S. H amon Ashabinjuka sana boda
Utajiri una siri sana kwa kila mtu
Kwa watu wanaomjua jamaa Ana utajiri sana
S. H amon naye wale aliyo hustle nao amewatoa sana ila wengine ndy vichwa pnzi

Ova
 
S. H amon Ashabinjuka sana boda
Utajiri una siri sana kwa kila mtu
Kwa watu wanaomjua jamaa Ana utajiri sana
S. H amon naye wale aliyo hustle nao amewatoa sana ila wengine ndy vichwa pnzi

Ova

Lile group lao ukifahamiana nao jamaa walikua na roho safi sana wanakuuzia ramani na mtaji ulikua unapewa wengine waliishia kufa kwa kuzidiwa na starehe
 
Airo mashine ile
Mzee Wa darasa la 7

Ova
 
Yule mwenye hotel kule jiji lenye ziwa?
 
 
Syo wengine wanakuita kwenye Kazi biashara
Alafu wanataka kukupanga
Kna mbongo mmja yuko kitwe hpo
Nammind mpk keshooo
Kama Zambia Unaijua kna sehemu inaitwa musenga.... Iko kama unaelekea chingola

Ova
 
misasa: tafuta mmiliki wa mabasi ya Mazhandu yanapiga sana nakonde lusaka au nakonde kitwe ni kundi lao pia yeye ni ya DON alihamia zambia kitambo na ana uraia wa zambia
Hao si mazhandu family bus service
Hivi bdo wapo

Ova
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…