Natamani kufa

Natamani kufa

Status
Not open for further replies.

umukagame

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
1,044
Reaction score
675
Wakubwa heshima kwenu!

Kama mnakumbuka nilikuja hapa kuomba ushauri kuhusu kuolewa na mpenzi wangu ambaye ni muslim na mie ni mkristo!
Nimefikiria sana nimeona ni bora niachane nae sababu baba yangu amesema kama nikiikana imani yake nitakuwa nimemkana na yeye tatizo ni kwamba huyu mkaka jamani nampenda sana sana nafikiria nitaolewa na nani sababu kuna wanaume kama 10 wananitaka lakini wenye uwezo wa kifedha wote ni waume za watu,vijana wanaontaka unakuta wengine wanachuo n.k ntaishije bilaa mpenzi?nitadate na waume za watu?nitaipata wapi furaha nliyokuwa naipata?siwezi kudate na mtu mwenye maisha ya chini ni kosa kabisa kwa wazazi wangu wanataka mtu msomi tena mtu maarufu!!nafikiria hata kufa niachane na haya maisha
Ushauri tafadhali
 
Huna wazazi hapo, una vijiwazazi. Na mbaya zaidi umearithi mitazamo yao ya kibabaishaji. Pesa na urembo sometimes unapita tu. True love always exist.
 
Usituchosheee na vi id vyako kama wataka mchumba nenda love connect

Hahahahahaha i think unawewesek kubali umeachwa tu na ukiendelea hupati kitu pale ndiyo utaelewa hili jiji lina wenywe na wenyewe ndo siye shame on yu!
 
Mchana umekuja kumsifia mmeo jioni umerudi hujaolewa
una matatizo gani mwanamke???

mwache mwenzio bhana ndio anajifunza kupost na kutafuta umaarufu jf..... Ww hujui kwamba yalishabomolewa sasa hamna sehem ya kuuzia ameona aje jf laba atapata mteja
 
Kwa shauri zote zile kama bado, basi tukutafutie tu hela ya kununulia kamba au ile kitu ya panya. Upumzike kwa amani.
Mtambuzi uje tafadhali, Huyu binti anafikiri duniani kuna mwanaume mmoja tu na anaona hiko ndio kiwango cha mwisho cha upendo?

''Love is MADNESS but in madness there is REASONING ''- A. Ainstein. Amka kijana bado uko ndotoni.

Wakubwa heshima kwenu!
Kama mnakumbuka nilikuja hapa kuomba ushauri kuhusu kuolewa na mpnz wangu ambaye n muslim na mie ni mkristo!
Nimefikiria sana nimeona ni bora niachane nae coz baba yangu amesema kama nikiikana imani yake nitakuwa nimemkana na yeye tatizo ni kwamba huyu mkaka jaman nampenda sana sana nafikiria ntaolew na nani coz kuna wanaume kama 10 wananitaka lakini wenye uwezo wa kifedha wote ni waume za watu,vijana wanaontaka unakuta wengne wanachuo n.kntaishije bilaa mpenz??ntadate na waume za watu??ntaipata wapi furaha nliyokuwa naipata?siwez kudate na mtu mwenye maisha ya chini ni kosa kabisa kwa wazazi wangu wanataka mtu msomi tena mtu maarufu!!nafikiria hata kufa niachane na haya maisha
Ushaui tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha i think unawewesek kubali umeachwa tu na ukiendelea hupati kitu pale ndiyo utaelewa hili jiji lina wenywe na wenyewe ndo siye shame on yu!

Bora uliwahi kufuta comments zako make ulijichanganya vibaya
 
Hahahahahaha i think unawewesek kubali umeachwa tu na ukiendelea hupati kitu pale ndiyo utaelewa hili jiji lina wenywe na wenyewe ndo siye shame on yu!

unaharibu post yako kwa lugha za kipashkuna act like great thinker
 
mwache mwenzio bhana ndio anajifunza kupost na kutafuta umaarufu jf..... Ww hujui kwamba yalishabomolewa sasa hamna sehem ya kuuzia ameona aje jf laba atapata mteja

Aaaggggrrr tupa kule kila siku matatizo ya kutunga afeeeeee
 
bora uliwahi kufuta comments zako make ulijichanganya vibaya

hahhhhh umeumbuliwa kwa blog umenifata had huku s skia mie ndo mama og ya muzungu no one!upo hapo wewe ongea cjui wht wht huwez kuwa kama mm tena unatafuta kujibizana na mie kirahis rahs mie sy typ yako ok?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom