Natamani ku-adopt watoto kutoka vituo vya watoto wenye mazingira Magumu

Hpn chukuwa usiye mjuwa kbsa kbsa Ni vzr Zaid nadhani mnaifahamu hopitali ya seko toure ya mwanza na hodi ya seko toure iliyoko Arusha pale

Yule jamaa aalikuwa adopted na rais wa ginne bissau kipindi hcho alikuja Tanzania kumuona mwlaimu nyerere ndio kufika na kumuomba yule kjn wa kimasai aende akaishi nae amfanye Kama wa kwake wa kumzaa kbsaa

So yule jaama ni mmasai alikuja kurudi na kuwa daktari wa serekali na kuwa mtu muhimu Sana plz mchukue siamini katk matezo naamini katk malezi usimdekeze apewe equal traetment haswa hata mashamba mlimishe na kila kitu afanye na mawanao yule

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sawa kabisaa Mkuu
 
Nakupa 100%. Wazo jema sana, changamoto itakuja kama watoto hao wakuasili na huyo wako watajua kuwa wanatofauti, ikiwa utaifanya kuwa siri yako, yako mwenyewe na kila mtu wakiwamo nduguzo wakajua ni wanao utakuwa umefanikiwa sana. MBALA, NE alisema "Wale walionilea ndio wazazi wangu, na wale ninaowalea ndio wanangu, vinasaba vitafanya kazi nyingine (Those who raised me are my parents, and those i'm raising are my children, DNA will save other purposes)"
Asante sana Mkuu
 
Nenda ofisi za ustawi wa jamii. Watakupa mwongozo mwanzo mwisho. Na wataku monitor pia juu ya maendeleo na usalama wa mtoto kupitia afisa wao wa maendeleo ya jamii katika kata yako
Asante sana kwa muongozo Mkuu
 
Ubarikiwe sana, huo ndiyo ubinadamu siyo kufanya sherehe kubwa ili kupata umaarufu huku wapo viumbe wenye uhitaji wanaotaabika
 
  • Thanks
Reactions: THT
Ni wazo jema sana.

Kwa Tanzania niijuayo, sasa hivi vituo vya "yatima" ni biashara, ukienda na pesa ndefu wanakupa mara moja (wanakuuzia).

Mwenyezi Mungu ajaalie wazo lako litimie.
 
Ni wazo jema sana.

Kwa Tanzania niijuayo, sasa hivi vituo vya "yatima" ni biashara, ukienda na pesa ndefu wanakupa mara moja (wanakuuzia).

Mwenyezi Mungu ajaalie wazo lako litimie.
Wamuuzie Tena mtot jmn usinunu mkuu hpn usinunue Kama hawataki kukupa kwa Nia njema waache na watot wanaowafanya madili

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: THT
Back
Top Bottom