miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
ndiyo maana yake na cha moto tutakionaLazuma yaende hata kwa kuvaa magome na kula matunda+nyasi
ndiyo maana yake na cha moto tutakionaLazuma yaende hata kwa kuvaa magome na kula matunda+nyasi
sasa hivi walimu wameshalipwa stahiki zao?Kuna watu naona mnaamua kujiondoa uelewa. Hivi swali, kipindi kile si mlikuwa mnalalamika mifumo mibovu ya nchi? Sasa inarekebishwa tena hamtaki. Mfano huo wa waalimu, nyie ndiyo mlikuwa wa kwanza kuilamu serikali kuwa hilipi malimbikizo kumbe kulikuwa na udanganyifu mkubwa wa wafanyakazi hewa, na sasa serikali inarekebisha tena hamtaki, je nyie chandomo mnatoka sayari gani?
Chaliiiii. Wanafanyia majumbani aisee.Shamlashamla za Kubatizwa kwa moto
Walidhani wao mambo yatawanyookea, kumbe huyu waliye mkabidhi ufunguo Wa kugawa hewa anatunyima wote! Mbaya zaidi inafikia wakati hata wasaidizi wake Wa Katibu pia anawakatia pumzi!










kwahiyo walimu wamelipwa malimbikizi yao?Kuna watu naona mnaamua kujiondoa uelewa. Hivi swali, kipindi kile si mlikuwa mnalalamika mifumo mibovu ya nchi? Sasa inarekebishwa tena hamtaki. Mfano huo wa waalimu, nyie ndiyo mlikuwa wa kwanza kuilamu serikali kuwa hilipi malimbikizo kumbe kulikuwa na udanganyifu mkubwa wa wafanyakazi hewa, na sasa serikali inarekebisha tena hamtaki, je nyie chandomo mnatoka sayari gani?
1,Mfumo ni nini?Kuna watu naona mnaamua kujiondoa uelewa. Hivi swali, kipindi kile si mlikuwa mnalalamika mifumo mibovu ya nchi? Sasa inarekebishwa tena hamtaki. Mfano huo wa waalimu, nyie ndiyo mlikuwa wa kwanza kuilamu serikali kuwa hilipi malimbikizo kumbe kulikuwa na udanganyifu mkubwa wa wafanyakazi hewa, na sasa serikali inarekebisha tena hamtaki, je nyie chandomo mnatoka sayari gani?
Tuisome mara ngapi tenaHabari wanajamvi!
Naam, Tunako elekea sasa kisiasa na kiuchumi ndiko hasa niliko kuwa naomba tufike! Ngoma kaipata kenge maji yote timbwitimbwili.Na bado.
Natamani kila mtu aisome namba.Walimu waisome namba, wauguzi waisome pia, wasanii waisome namba tena usiku na mchana, wale wanaojifanya kutaka kufanya usafi siku ya Ukuta waisome tena kwa herufi kubwa! Wakulima wazisome namba zoote ili wajue tulikuwa hatudanganyi kuwa kule ni walewale!!
Natamani aendelee hivihivi na asitokee mtu wa kumshauri.Natamani chama cha migomba waisome namba kwani wao walimpenda wenyewe bila shuruti. Napenda arudie tena kuwaudhi akina maalimu! Atuudhi wote! Natamani apige marfuku wanaume tusiongee mchana!! Aongee peke yake! Natamani kodi ipande mpaka peni tununue kwa shilingi Laki sita.
Natamani wanafunzi waisome namba mpaka wajute. Natamani wanawake waisome namba mpaka kujipaka mafuta iwe ni anasa!
Halafu uchaguzi ndio uje 2020.Tutakapo waambia chama kile ni walewale watatuelewa.Tutakapo waambia chama kile mkiwapa tena watatoa teuzi kwa ukanda watatuelewa. Tutakapo waambia wanavunja katiba watatuelewa.Tutakapo waambia kuwa wanavinyongo watatuelewa. Karibu 2020.
Nadhani wewe ni mbeba box, haupo bongo1,Mfumo ni nini?
2,Mfumo upi uliorekebishwa?
Ndio jibu hilo?Nadhani wewe ni mbeba box, haupo bongo



Kuna viumbe wengine tunao hapa JF kimawazo tu ila kiuhalisia wapo nje ya nchi wanafanya vibarua. Kisa cha mi kusema mhusika ni mbeba box alikuwa anasema mpaka sasa serikali haijafanya kitu, wakati tunajua serikali imejitahidi sanaNdio jibu hilo?
Majibu yenu yamekaa vizuri sana,kuna yule DC aliulizwa maana ya demokrasia sikumbuki alijibu nini
Walewale
Mmmh...hayo maombi huyo mwananchi yamenitisha ila tu nashangaa wimbi la watu kuichukia nchi inaongezeka hapa viongozi wa dini wanatakiwa sana
Hizo ni fikra potofuKuna viumbe wengine tunao hapa JF kimawazo tu ila kiuhalisia wapo nje ya nchi wanafanya vibarua. Kisa cha mi kusema mhusika ni mbeba box alikuwa anasema mpaka sasa serikali haijafanya kitu, wakati tunajua serikali imejitahidi sana