Natamani kila mtu aisome namba!

Natamani kila mtu aisome namba!

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
3,156
Reaction score
3,626
Habari wanajamvi!

Naam, Tunako elekea sasa kisiasa na kiuchumi ndiko hasa niliko kuwa naomba tufike! Ngoma kaipata kenge maji yote timbwitimbwili.Na bado.

Natamani kila mtu aisome namba.Walimu waisome namba, wauguzi waisome pia, wasanii waisome namba tena usiku na mchana, wale wanaojifanya kutaka kufanya usafi siku ya Ukuta waisome tena kwa herufi kubwa! Wakulima wazisome namba zoote ili wajue tulikuwa hatudanganyi kuwa kule ni walewale!!

Natamani aendelee hivihivi na asitokee mtu wa kumshauri.Natamani chama cha migomba waisome namba kwani wao walimpenda wenyewe bila shuruti. Napenda arudie tena kuwaudhi akina maalimu! Atuudhi wote! Natamani apige marfuku wanaume tusiongee mchana!! Aongee peke yake! Natamani kodi ipande mpaka peni tununue kwa shilingi Laki sita.

Natamani wanafunzi waisome namba mpaka wajute. Natamani wanawake waisome namba mpaka kujipaka mafuta iwe ni anasa!

Halafu uchaguzi ndio uje 2020.Tutakapo waambia chama kile ni walewale watatuelewa.Tutakapo waambia chama kile mkiwapa tena watatoa teuzi kwa ukanda watatuelewa. Tutakapo waambia wanavunja katiba watatuelewa.Tutakapo waambia kuwa wanavinyongo watatuelewa. Karibu 2020.
 
Habari wanajamvi!

Naam, Tunako elekea sasa kisiasa na kiuchumi ndiko hasa niliko kuwa naomba tufike! Ngoma kaipata kenge maji yote timbwitimbwili.Na bado.

Natamani kila mtu aisome namba.Walimu waisome namba, wauguzi waisome pia, wasanii waisome namba tena usiku na mchana, wale wanaojifanya kutaka kufanya usafi siku ya Ukuta waisome tena kwa herufi kubwa! Wakulima wazisome namba zoote ili wajue tulikuwa hatudanganyi kuwa kule ni walewale!!

Natamani aendelee hivihivi na asitokee mtu wa kumshauri.Natamani chama cha migomba waisome namba kwani wao walimpenda wenyewe bila shuruti. Napenda arudie tena kuwaudhi akina maalimu! Atuudhi wote! Natamani apige marfuku wanaume tusiongee mchana!! Aongee peke yake! Natamani kodi ipande mpaka peni tununue kwa shilingi Laki sita.

Natamani wanafunzi waisome namba mpaka wajute. Natamani wanawake waisome namba mpaka kujipaka mafuta iwe ni anasa!

Halafu uchaguzi ndio uje 2020.Tutakapo waambia chama kile ni walewale watatuelewa.Tutakapo waambia chama kile mkiwapa tena watatoa teuzi kwa ukanda watatuelewa. Tutakapo waambia wanavunja katiba watatuelewa.Tutakapo waambia kuwa wanavinyongo watatuelewa. Karibu 2020.
Kale kawimbo mbona kanajieleza wazi
kabla hata ya uchaguzi. Tatizo nini hasa?

"Nawavimbe wapasuke
Watajiju wao wenyewe

Wacha waisome namba eee...
WAISOME NAMBA.....
SSM mbele kwa mbelee......"
 
Kale kawimbo mbona kanajieleza wazi
kabla hata ya uchaguzi. Tatizo nini hasa?

"Nawavimbe wapasuke
Watajiju wao wenyewe

Wacha waisome namba eee...
WAISOME NAMBA.....
SSM mbele kwa mbelee......"
daaaaaaaaaaaaaaaa hii
 
Since day 1 jpm kaingia ni mwendo wa kuisoma namba tu
 
Kuisoma namba hakuna mtu,kabila,dini wala chama gani unakishabikia.it is for every TZ and non TZ currently living in TZ.wengi hawakujua hili
 
Hata wale walo takiwa kufwatuka kwa sana walete mgomo wasifwatuke maana hii na namba hatar
 
Kale kawimbo mbona kanajieleza wazi
kabla hata ya uchaguzi. Tatizo nini hasa?

"Nawavimbe wapasuke
Watajiju wao wenyewe

Wacha waisome namba eee...
WAISOME NAMBA.....
SSM mbele kwa mbelee......"
Walidhani wao mambo yatawanyookea, kumbe huyu waliye mkabidhi ufunguo Wa kugawa hewa anatunyima wote! Mbaya zaidi inafikia wakati hata wasaidizi wake Wa Katibu pia anawakatia pumzi!
 
Number zimeshasomeka kitambo. Waulize watu wa bandari, waulize wafanyakazi wa serikalini, waulize wanafunzi wa vyuo, waulize wenye mahoteli ambaya yalikuwa wanategemea vikao, waulize watu wenye sector binafsi, utalii, yaani number zipo bolded kila mmoja anazisoma.
 
Duhh,aisee akili nyingine zinahitaji shule sana,maana hata mtoto wa nursery hawezi kuandika namna hii.
Mtaisubiri sana Nchi hii,fanyeni kazi acheni Umama,maisha yapo kawaida,kama mvivu ndio imekula kwako,na kama mpiga dili ndio kabisaa tafuta nchi ya kwenda
Endeleeeni kujifariji
 
Kuna watu naona mnaamua kujiondoa uelewa. Hivi swali, kipindi kile si mlikuwa mnalalamika mifumo mibovu ya nchi? Sasa inarekebishwa tena hamtaki. Mfano huo wa waalimu, nyie ndiyo mlikuwa wa kwanza kuilamu serikali kuwa hilipi malimbikizo kumbe kulikuwa na udanganyifu mkubwa wa wafanyakazi hewa, na sasa serikali inarekebisha tena hamtaki, je nyie chandomo mnatoka sayari gani?
 
Sisi wakulima wa TOMATO tushaisoma namba kusawasawaaa,maana BAKHRESA ndo alikuwa mteja wetu mkuu,sijui kachukia nini,hanunui tena nyanya,tuna uza mpaka 500 kwa ndoo wakati mwaka jana niliuza ndoo hadi 35,000 nikanunua NOAH na subaru,sasa tunalisha ng'ombe nyanya
 
Back
Top Bottom