mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 6,631
- 18,675
Leo nilikuwa natazama documentary moja kumhusu huyu king of pop , nikiri jamaa alikuwa anakubalika. Kuanzia New york hadi Moscow. Au Munich mpaka Tokyo jamaa alikuwa akifika kwenye hayo majiji shughuli zilikuwa zinasimama .
Na hapo ni ametua tu na ndege bado haja perform. kama kuna watu humu wanasema eti jamaa nyimbo zake zilikuwa za kawaida sana, mara sijui ni freemason wamempa umaarufu na conspiracy theories nyingi ilimradi kumchafua .
Ila kwa wanaojua mziki wake huko duniani haswa live concerts Jamaa alikuwa kwenye ligi ya peke yake. Ogopa watu hususani watoto wa kike walikuwa wanazimia tu kwa kumuona , wengine kububujikwa na machozi kama luka wa magogoni.
Itoshe kusema jamaa alikuwa anajua na anaujua mziki. Sasa mimi natamani Mondi afike level za huyu jamaa yaani mfano kama mondi atue pale Arusha ,shughuli zote zisimame na awe na msafara unaomsindikiza tu akitua Airport zisipungue gari 100. Na mfano Watoto wa kike watoroke shule kwenda kumuona. I wish bro Mondi afikie hii level ya Fame.
Na hapo ni ametua tu na ndege bado haja perform. kama kuna watu humu wanasema eti jamaa nyimbo zake zilikuwa za kawaida sana, mara sijui ni freemason wamempa umaarufu na conspiracy theories nyingi ilimradi kumchafua .
Ila kwa wanaojua mziki wake huko duniani haswa live concerts Jamaa alikuwa kwenye ligi ya peke yake. Ogopa watu hususani watoto wa kike walikuwa wanazimia tu kwa kumuona , wengine kububujikwa na machozi kama luka wa magogoni.
Itoshe kusema jamaa alikuwa anajua na anaujua mziki. Sasa mimi natamani Mondi afike level za huyu jamaa yaani mfano kama mondi atue pale Arusha ,shughuli zote zisimame na awe na msafara unaomsindikiza tu akitua Airport zisipungue gari 100. Na mfano Watoto wa kike watoroke shule kwenda kumuona. I wish bro Mondi afikie hii level ya Fame.