Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,731
Kazi za kufanya ziko wapi wakati meli hazileti mizigo bandarini?jamani fanyeni kazi jamani....mda wote mnawaza papuchi tu? mda wa kazi huu...ndomana zinapanda bei kila kukicha, madem wanapandisha bei,,,saa moja usiku angalau ndo tujadiri papuchi
Atakuwa alikuamini kupita level yako.
Nataka kuthubutu nini kaka?
Mtongoze tu kaka...kama kaficha sukari i.e ameumuka banda la uani weka ndani, mchango wangu nimeshauweka wazi!
Ingekuwa si sehemu salamaKweli mapenzi nayo bila uongo uongo hayaendi.
Wakati mwingine kijitu hata kama hukipendi unakiambia unakipenda ili mradi tu.
Laiti tungekuwa na uwezo wa kuona yaliyomo mioyoni na vichwani mwa watu kuhusu mapenzi, sijui hii dunia ingekuwaje.
Let's take a trip to Jamaica, go to London see double deckersMi mwenyewe nasubiri Kiranga anitongoze apa
FactDaaahh kweli bongo kwa ektin tu kiboko!demu unaweza kufika nae hadi geto ukimvua anauliza unataka kufanya nn?!hehehe ndo mana wanawake wengi huku bongo anaweza kukupenda na asiseme hadi mapenzi yanaexpire ndo anakuja kukwambia nilikuwa nakupenda sana!heheheh
Ha ha haaa...wewe una amini umeshamtongoza ila yeye kakupa supp onesha huogopi supplementary mtongoze tu mkuu...!Nimtongoze nani? Janeth?
Kiruu kya maiAlitaka umdanganye danganye.. Kwamba unampenda ujaona mwingine zaidi yake, na Sex siyo lazima ila kama ukitaka nitafanya kwani baby utaninyima nikiomba?.. ha ha ha .. Na yeye ajibu Jamani wewe siku moja tu unataka wewe ha ha jamani huku akikulalia lalia mabegani.. Na kukutoa uchafu Wa uongo uongo
Umwambie utamuoa kiruuu
Ha ha haaa...wewe una amini umeshamtongoza ila yeye kakupa supp onesha huogopi supplementary mtongoze tu mkuu...!
we unavyofikiri alitakiwa aongee mameno gani ili aeleweke kwa haraka?Au ulikuwa na maneno mengi yasiyo na maana. Mara, oooh.. Mimi nina pesa nyingi! Ooh, baba yangu ni mwenyekiti wa kijiji. Au chuo kikuu nilipata first class
Pass ndefu kama za Mjerumani
wewe ni muhaya?Kuna siku moja hivi nilikuwa sina hili wala lile. Nimekaa tu nyumbani naangalia dari, kuta, na sakafu za marumaru.
Basi nikampigia simu mshkaji kuona ana mpango gani kwa jioni ile.
Akasema 'Ngabu kwa nini tusiende Ramada tukajivinjari hapo?'. Nikasema poa. Nikaenda nikamkuta tayari keshafika yuko na wachuchu wawili.
Nikaagiza Pinot Grigio halafu nikajichanganya naye. Sasa nikawa nimevutiwa na yule binti mwingine, Janeth.
Nikaanza kupiga naye stori na mambo mambo. Sasa huhitaji kuwa mwanasayansi wa roketi za anga kung'amua kama nilikuwa nimemtamani. Hata yeye aliliona hilo lakini akawa anajishebedua tu.
Baadaye ndo akaniambia eti anataka nimtongoze. Nikapigwa na butwaa. Ina maana wakati wote huo nilikuwa simtongozi?
Kutongoza ndo kukoje kwani? Ni lazima useme maneno gani? Maana huenda hiyo sehemu ya mchezo mi bado sijaijua.
Mwingine anasema tupige story tu... Hlf tuondoke, Lodge. Hajui kama umelipia pale... Saa nyng najiuliza alingia kufanya nn....Daaahh kweli bongo kwa ektin tu kiboko!demu unaweza kufika nae hadi geto ukimvua anauliza unataka kufanya nn?!hehehe ndo mana wanawake wengi huku bongo anaweza kukupenda na asiseme hadi mapenzi yanaexpire ndo anakuja kukwambia nilikuwa nakupenda sana!heheheh
Nah dude.
She's not worth that effort.
Wahivyo wanamakusudi sana, yaani anataka mwisho wa siku awe na ushahidi kuwa ulimtongoza mwenyewe.Kuna siku moja hivi nilikuwa sina hili wala lile. Nimekaa tu nyumbani naangalia dari, kuta, na sakafu za marumaru.
Basi nikampigia simu mshkaji kuona ana mpango gani kwa jioni ile.
Akasema 'Ngabu kwa nini tusiende Ramada tukajivinjari hapo?'. Nikasema poa. Nikaenda nikamkuta tayari keshafika yuko na wachuchu wawili.
Nikaagiza Pinot Grigio halafu nikajichanganya naye. Sasa nikawa nimevutiwa na yule binti mwingine, Janeth.
Nikaanza kupiga naye stori na mambo mambo. Sasa huhitaji kuwa mwanasayansi wa roketi za anga kung'amua kama nilikuwa nimemtamani. Hata yeye aliliona hilo lakini akawa anajishebedua tu.
Baadaye ndo akaniambia eti anataka nimtongoze. Nikapigwa na butwaa. Ina maana wakati wote huo nilikuwa simtongozi?
Kutongoza ndo kukoje kwani? Ni lazima useme maneno gani? Maana huenda hiyo sehemu ya mchezo mi bado sijaijua.
wewe ni muhaya?
Wahivyo wanamakusudi sana, yaani anataka mwisho wa siku awe na ushahidi kuwa ulimtongoza mwenyewe.
Mimi nimeshajiwekea SI Unit...Maharage ya mbeya weka mbali na mimi...tongozo walau miaka miwili it worth! Sio kuwaza kuota ndoto ya kumtongoza mtu kesho unakuta kakukubali wakati bado!
Mi bila kupokea maneno matamu sijatogozeka bado. HaaaaaaaaaaKuna siku moja hivi nilikuwa sina hili wala lile. Nimekaa tu nyumbani naangalia dari, kuta, na sakafu za marumaru.
Basi nikampigia simu mshkaji kuona ana mpango gani kwa jioni ile.
Akasema 'Ngabu kwa nini tusiende Ramada tukajivinjari hapo?'. Nikasema poa. Nikaenda nikamkuta tayari keshafika yuko na wachuchu wawili.
Nikaagiza Pinot Grigio halafu nikajichanganya naye. Sasa nikawa nimevutiwa na yule binti mwingine, Janeth.
Nikaanza kupiga naye stori na mambo mambo. Sasa huhitaji kuwa mwanasayansi wa roketi za anga kung'amua kama nilikuwa nimemtamani. Hata yeye aliliona hilo lakini akawa anajishebedua tu.
Baadaye ndo akaniambia eti anataka nimtongoze. Nikapigwa na butwaa. Ina maana wakati wote huo nilikuwa simtongozi?
Kutongoza ndo kukoje kwani? Ni lazima useme maneno gani? Maana huenda hiyo sehemu ya mchezo mi bado sijaijua.