Nataka Unitongoze

Status
Not open for further replies.
Itakua hujui kutongoza au your not romantic au your too materialistic....or both!! wenzio tukiongea nao tu analowa
 
Alitaka useme hapa ninapokunywa hii pinot grigio nakuona penye glass unanisimamisha wima kama minazi ya pwani, dada swalama au macho yangu? tutakula au fitna? ndege itatua au uwanja una maji?
 
wote ulishakutana nao???
 
Au ulikuwa na maneno mengi yasiyo na maana. Mara, oooh.. Mimi nina pesa nyingi! Ooh, baba yangu ni mwenyekiti wa kijiji. Au chuo kikuu nilipata first class

Pass ndefu kama za Mjerumani
Hivi mpaka leo watu bado wanatongoza kwa stayle hiyo?
 

Ha ha haaa mkuu..
Mchango wangu 200,000...
Kwa siku mbil tatu hizi naona kama unataka kuthubutu....
Naasili wazo lako!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…