Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Kuminya vyombo vya habari ni kuiteketeza demokrasia yetu tuache huru tujadiliane kutuzuia ni kutufanya tuishi ndani ya box.Tunakataa hali hii kwa nguvu zote na tunasema ##free Max###
 
Nini maana ya uchochezi?
 
Ameshindwa tayari kilichobaki ni kupigia majibu mistari
Link Swali la Ugomvi: Ni Kina Nani Wasiotaka Magufuli Afanikiwe na Kwanini?

Link2. Nilivyomdhania Magufuli kumbe sivyo...
 
Mimi natamani January makamba, nape nnauye na wote walioshadadia sheria ya mitandao wafe tuwazike tumalize shida. By the way nna maono watakufa soon

Na jela siendi na nisharopoka maono ya Lema
Napiga goti usiku kucha nikiomba hayo maono yako yawe ya kweli ya Lema naona kama yanakawia vilee!
 
Nini maana ya uchochezi?
Ni kusema au kumwambia mfalme anaetembea na joho linalompendeza na sililoonekana kwa kutumia lugha ya mtoto mdogo na ya mshangao , "mama, mama, mfalme hajavaa nguo".

Maana ingine ya uchochezi ni kuita domo-krasia kwa jina lake, domo-krasia.

Pia unapolalamika kwamba umepigika kimaisha baada ya wataalamu wa uchumi wa mwendokasi wanapozuia wapiga dili (walalahoi) wasipate uwezo wa kupeleka mkono kinywani.

Unaitwa uchochezi pia unaposema huna tena uwezo wa kujitetemesha/kukaza mkanda ili Kaizari apate vitu vyake (akusanye kodi yake).
 
Mimi natamani January makamba, nape nnauye na wote walioshadadia sheria ya mitandao wafe tuwazike tumalize shida. By the way nna maono watakufa soon

Na jela siendi na nisharopoka maono ya Lema
Umewasahau wengine. Dr. Mwakyembe anaongoza wizara ipi?
Mwanasheria mkuu wa siri-kali anafanya kazi ipi?
Napiga goti usiku kucha nikiomba hayo maono yako yawe ya kweli ya Lema naona kama yanakawia vilee!

Link Rais Magufuli asaini Sheria ya Habari
 
Huyu rais nilidhani angekuwa wa maana kumbe bora mpenda safari Kikwete. Huu udikteta angeupeleka kwenye mambo ya msingi angefanya la maana sana. Seems hana shughuli anazi create kama Mjinga mjinga yule taahira Paul Makonda

Mimi natamani January makamba, nape nnauye na wote walioshadadia sheria ya mitandao wafe tuwazike tumalize shida. By the way nna maono watakufa soon

Na jela siendi na nisharopoka maono ya Lema
Mkuu mimi nimeshakupa LIKE, naomba nikuamkie 'Shkamoo'.

Umeukonga moyo wangu.
 
Mmmm...mkurugenzi yuko lock up....mwisho wa siku details za wachangiaji zitakuwa hadhalani.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…