Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
sawa, lakin si bakuli wametembeza wao! mbona akina lowasa na sumaye walipokuwa mawaziri wakuu yaliwashinda kutembeza hilo bakuli watoto wakapata madawati??


Usimlinganishe Lowassa na mambo ya kijinga..isingekuwa ni huo wizi wenu uliohasisiwa na mstaafu mkamtoa kafara sasa hv Elimu ya Tanzania ungekuwa level ingine Kabisa... Yaani kwa sasa tungekuwa tunawaza jinsi ya kuwawezesha watoto wa chekechea kwa laptop na si madarasa na madawati tena...
 
hapa mkuu anakosea uhuru wa habari una faida nyingi kushinda hasara hasa kwa serikali ambayo imepanga kupigana na uovu na uozo, isingekuwa JF huenda sahizi raisi angekuwa mwingine kabisa.... apige kazi akikosea atakosolewa tuu maana yeye ni mwanadamu na akipatia tutamsifu..

Akiendelea hivi atakuta muda wa kutimiza ahadi zake umeisha kisa kusumbuana na kina melo.
 
Kuna Uzi wowote ulioanzishwa na Max? Hivi nini maana ya Uchochezi? Nini Maana ya Matusi? Unaweza Orodhesha matusi yanayotukanwa kwa hao wanaokutuma? Na hayo matusi ni kwa nyie tu ila Watanzania Waliokuwa Malofa na WAPUMBAVU Sheria hizi haziwalindi? Hivi waliomtabiria Lowassa kifo wamewahi kukamatwa na kushtakiwa? Wanaokesha humu JF Wakitunga uongo dhidi ya CDM na CUF huwa wanakamatwa?
Kama story ni za uongo Kanusha, fungua kesi za defamation ili upate fidia!
 
Ameshindwa tayari kilichobaki ni kupigia majibu mistari
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…