Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
mm nafuraia sana jamii f kwasababu nikiwa jukwaa la siasa nabishana na rais waziri wabunge nk kwasababu wapo na id fake Ila nikiwazidi onja ndiyo madhara yake haya
 
Mmmh kweli umechafukwa
 
nimesoma Kwa makini ila lengo nilitaka kuona Kwa wale wenye akili fupi Lumumba fc kama wamechangia Uzi huu, sikumuona MTU kama lizabon, yuko WAP? uwenda anaandika Uzi kuhusu lowasa si bureeee
 
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Hatari mzeee

Ha ha ha ha kwi kwi kwi kwi
Jamaa kaniacha hoi bila mbavu kuwa huwa anashiriki mijadala na rais, mawaziri, wabunge nk lakini akiwazidi hoja wanataka wamshughulikie. Teh teh teh teh. JF uishi milele. Atakayekugusa akutane na maneno ya Lusekelo
 
Viroboto mliopo humu go and tell him that "We ain't scared"! Na tutakosoa tu.. Hamna namna nyingine
 
Nilisikia Jana Lisu anasema kuwa ule Ujumbe uliandika najuwa hata hili utaandika ila ukiendelea juwa utaandika ukiwa hauko huru..lakini kumbuka Melo yuko kikaangoni uda huu ili atoe email na namba za simu ya member akikosea kidigo tu nahisi wataanza na wewe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…