Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Biblia na yesu alisema mchungaji mwema uwatangulia kondoo kwa mbele sasa makanisa na wanaojidai mitume na manabii mbona wameufyata wameacha kondoo kwa mbele ya mbwamwitu alafu utasikia watu wakiwa waita watumishi wa mungu kumbe makanjanja wapiga dili kondoo si kitu kwao wakristo acheni kudanganya makanisani nyinyi!!!!!
 
huyo mmama alieleta uongo kwa nini yeye asikamatwe na anajulikana kabisa na kila mtu? max amemlinda wapi wakati muhusika anajulikana mkuu?
 
Kaka dua la kuku halimpati mwewe.Raisi ni Taasisi inayoheshimika duniani kote wewe ni nani hata ukaandika andiko la kumkashfu Raisi wetu mpendwa.Sheria ni msumeno .Mex kama hana hatia ataachiwa na kama ana hatia sheria itachukua mkondo wake.Unachokitafuta utakipata muda si mrefu walikiwepo wajuaje wengi sana kabla yako.Be carefull
 
Kosa sio LA maxence.bali kosa ni lako kupeleka umbea kwa mabosi.naona unatishia watu maisha.
 
USHÌNDWE WEWE MILELE . .
MTU MZIMA OVYO KABISA
 
Tunaogopa, wewe upo Tennessee USA, sisi tupo Tandale Kwa mtogole ,wakati tuking'olewa meno wewe utakuwa unakula burger za McDonald's.
Wajukuu zako watakuja kukulaumu sana.kama babu zetu wangekuwa waoga kama wewe.mpaka leo hata uhuru huu wa bendera tusingeupata.
 
anapiga hatua moja mbele sita nyumba labda kukamata watu na kuminya Uhuru wa habari ndo viwanda vyenyewe hivyo.....hivi Ghana au Gambia waliwezaje kukubali kupokezana madaraka?
 
Umenielewa sana.Huo ndio ukweli.Wanafiki wakubwa.
 
Mkuu, umeanza kuhamasisha au?

Unataka ashindwe wapi khasa, kuwa "specific".


Kila atakachokifanya kishindwe...yaani ashindwe kila kitu mpaka familia imshinde (ingaweje nasikia ilishamshinda siku nyingi)
 
Ashindwe kwenye kuwaziba watu midomo au ashindwe kwenye kila jambo?
 
ni kweli mkuu... hapa kuna fikra pevu sana na zimewasaidia watawala wengi kujirekebisha. Lakin swala linakuja kwamba, kama kweli tunatoa mawazo ya maana kwa nini tunaogopa kungundulika na vyombo vya usalama? kwa nini kuwaficha vyombo vya usalama kama wakihitaji kujua nani kasema nini? Uoga huu unatoka wapi??

Tazama michango yangu yote katika jukwaa hili, sijawahi kumtukana mtu, hata nikitoa mawazo ya kuikosoa serikali naongea kwa staha, sina hofu yeyote ya kujulikana na vyombo vya usalama.

kabla ya kushambulia vyombo vya usalama tujipime wenyewe.. je tunaongea kwa staha au tunataka jamii forums liwe jukwaa la kujifichia matusi yetu kwa watu??

Max Mello nakuombea umalizane nao hao watu urudi kuendelea na shughuli zako, Mungu ni mwema, utatoka tu bro.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…