Nataka nizae nae tu

Nataka nizae nae tu

Unaachaje kwa mfano..weka heshima mengine itakuwa matokeo..uje kala vingi vyako,huumii,weka kitu.....!
 
ungewapa mimba wote kwa pamoja coz huyo mchumba huyo mchumba akigundua kuna mtu umezaa nae atakubwaga ila kama na yy ana kitu hawez kukuacha
 
ndugu kuna mwanamke nilikuwa nae kama miaka 3 ila ghafla akanipiga kibuti moyo ukaumia sana sababu sikumkosea kitu sasa kanirudia tena moyo wangu una nisukuma nizae nae tu sababu tayari na mchumba so nataka nizae nae tu ili nisimsahau
usifanye hio ujinga kama huna mpango nae mwambie tu
 
Kama una moyo mkubwaa kama engine ya SCANIA, samehe na sahau mrudiane. Kama una moyo mdogo kama engine ya BAJAJ, achana naye, endelea na huyo mchumba wako.
 
Unampenda nn s alikutosa sa anarud kufanya nn acha udhaifu ww kama unampenda muoe so kuzaa naye tu
 
Kama hutaki kumsahau maana yake bado unampenda..sasa mchumba mwingine wanini??
 
Unadhani na yeye mjinga ajizalie tu na akikubali atakusumbua huyo mchumba na ndoa yenu utaona ni chungu hapana chezea baby mama baadhi wanajifyatua akili mpaka unaona dunia tambara bovu
 
UKUMBUKE KULEA MIMBA, NA MATUNZO YA MTOTO ATAKAPOZALIWA.
all the best
 
Back
Top Bottom