Nataka nizae nae tu

Nataka nizae nae tu

Fikiri kabla ya kutenda alaf tumia akili na sio moyo ndo utapata majibu sahihi zaidi
 
ndugu kuna mwanamke nilikuwa nae kama miaka 3 ila ghafla akanipiga kibuti moyo ukaumia sana sababu sikumkosea kitu sasa kanirudia tena moyo wangu una nisukuma nizae nae tu sababu tayari na mchumba so nataka nizae nae tu ili nisimsahau
Unataka kuongeza idadi ya single mother eeeh......halafu mje muwanange humu ....jitathimini mkuu you're wrong
 
As if unataga yai ambalo lina sealed fate ambayo ni option ya kukaanga ama kuchemsha. Utter nonsense.
 
Unataka kuzaa nae au hutaki kuzaa nae? Unataka nini dogo?
 
Back
Top Bottom