Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
- Thread starter
- #21
Asante nimekupataKama hutoishi nae usizae nae
Asante nimekupataKama hutoishi nae usizae nae
Asante rekebisha
Dish limeyumba
Oaneni tu since mnapendana sana. Muache huyo mchumba wako, Mungu atampa mtu atakayempenda kwa dhati na atakayeheshimu kiapo cha ndoa na yeye. Huyo mchumba wako ukimuoa utamuharibia tu maisha yake, bora umuache sasa hivi kabla hajaingia kwenye kifungo cha milele. Above all fikiria sana future ya huyo mtoto unayetaka kuzaa na ex wako, fikiria sana. ........Sio tamaa elewa nampenda nizae nae na yeye anapenda tuzae
[emoji15] siwezi acha sizai nae basiOaneni tu since mnapendana sana. Muache huyo mchumba wako, Mungu atampa mtu atakayempenda kwa dhati na atakayeheshimu kiapo cha ndoa na yeye. Huyo mchumba wako ukimuoa utamuharibia tu maisha yake, bora umuache sasa hivi kabla hajaingia kwenye kifungo cha milele. Above all fikiria sana future ya huyo mtoto unayetaka kuzaa na ex wako, fikiria sana. ........
Nashukuru kwa ushauri sitozaa nae pia na washauri tusiwaachie wanawake kulea peke yao watotondugu kuna mwanamke nilikuwa nae kama miaka 3 ila ghafla akanipiga kibuti moyo ukaumia sana sababu sikumkosea kitu sasa kanirudia tena moyo wangu una nisukuma nizae nae tu sababu tayari na mchumba so nataka nizae nae tu ili nisimsahau
Haina shida wee zaa nae tuu ila usisahau kupima kabla hujala kipapune chake isije kuwa kashaupata anataka kukumalizandugu kuna mwanamke nilikuwa nae kama miaka 3 ila ghafla akanipiga kibuti moyo ukaumia sana sababu sikumkosea kitu sasa kanirudia tena moyo wangu una nisukuma nizae nae tu sababu tayari na mchumba so nataka nizae nae tu ili nisimsahau
hahahahahaa dah
Unaoa mwanamke usiempenda inaonekana moyo wako bado upo kwa x wako. Kama ndivyo sitisha ndoa rudiana na umpendae mkazae zaidi ya mmojaAsante nimekupata
Acha izo kwa umesikia simpendiUnaoa mwanamke usiempenda inaonekana moyo wako bado upo kwa x wako. Kama ndivyo sitisha ndoa rudiana na umpendae mkazae zaidi ya mmoja