Bob swagger
Member
- Jan 16, 2020
- 42
- 54
kwanza tengeneza Mastercard kwa Mpesa au Tigopesa, kisha fungua netflix.com/signup chagua namna ya kulipa, ingiza namba yako ya Mastercard na CVV, jaribu netflix kwa mwezi, baada ya mwezi ukitaka kulipia unaweka kiasi cha pesa kwenye account yako ya Mpesa au Tigopesa Mastercard kiendanacho na gharama ya huduma. Easy like 123.
wacha wee, nyinyi ndo mnaozalilisha taaluma ya IT. Yani kufanya uharamia wa kupakua filamu ni ubingwa wa IT? 123shows.movie namimi utaanitaje?Kuna bingwa mmoja wa IT kafanya mambo yake nacheck Netflix bure kabisa. Nimempa kazi yakuifanyia mautundu hi site ya Grab the beast, ili niweze kupakua movies bila kulipia.
Nipe tips nishachoka kukatwa elf 23 zaoKuna bingwa mmoja wa IT kafanya mambo yake nacheck Netflix bure kabisa. Nimempa kazi yakuifanyia mautundu hi site ya Grab the beast, ili niweze kupakua movies bila kulipia.
mbali na hyo nyie ndo mnalala njaa kwa kukumbatia taaluma zenuwacha wee, nyinyi ndo mnaozalilisha taaluma ya IT. Yani kufanya uharamia wa kupakua filamu ni ubingwa wa IT? 123shows.movie namimi utaanitaje?
mimi sio "bingwa wa IT" . Online Filmbali na hyo nyie ndo mnalala njaa kwa kukumbatia taaluma zenu
mkuu kwa hali ilivyo saiv n kufanya kile unachoona kinakupa maslah basmimi sio "bingwa wa IT" . Online Fil
Piracy ni kosa, pia unaumiza vipaji vya watu. Umepanda mparachichi kwako baada ya kutafuta mbegu kwa shida, maparachichi yamekua mtu anakuja kuyachukua bila idhini yako na kwenda kuyauza.
Ile sio netflix.Kuna bingwa mmoja wa IT kafanya mambo yake nacheck Netflix bure kabisa. Nimempa kazi yakuifanyia mautundu hi site ya Grab the beast, ili niweze kupakua movies bila kulipia.
Ni nini?Ile sio netflix.
Jamaa ni mjanja haweki wazi jinsi anavyofanya maujanja yake.Nipe tips nishachoka kukatwa elf 23 zao
kwanza tengeneza Mastercard kwa Mpesa au Tigopesa, kisha fungua netflix.com/signup chagua namna ya kulipa, ingiza namba yako ya Mastercard na CVV, jaribu netflix kwa mwezi, baada ya mwezi ukitaka kulipia unaweka kiasi cha pesa kwenye account yako ya Mpesa au Tigopesa Mastercard kiendanacho na gharama ya huduma. Easy like 123.
bure, fungua mpesa, chagua lipa kwa mpesa 4, halafu chagua Mastercard 6Mkuu kwa line ya voda unaweza kunielekeza namna ya kufungua hiyo master card na requirements zake
Ni kwenye tv au simu?Jamaa ni mjanja haweki wazi jinsi anavyofanya maujanja yake.
Device ( Desktop, Laptop, Simu, Tablet )Ni kwenye tv au simu?
Pc na simu.Ni kwenye tv au simu?