Nataka nitangaze nia ya Ndoa, Before it's too late.

Nataka nitangaze nia ya Ndoa, Before it's too late.

Mbona bibi zetu na mama zetu wameolewa china ya hiyo miak na mpaka leo wapo ndoani
Mzee life limebadilika bibi zako hawakuishi hizi zama.. na wao wangeishi hizi zama wangekuwa micharuko vivyo hivyo!
 
Wewee! Uzoefu wa kwenda wapi huo? Wengine tumewaoa pre mature, tukalea, tukatunza na sasa tunazeeka nao na hawana tofauti yoyote.

Tabia ni kama rangi ya ngozi, mtu huzaliwa nayo na kufa nayo.

Kama utaipaka mkorogo, utaibadili kwa muda na baadae itarejea katika uasili wake.

Mnazeeka bila ndoa kwa sababu ya kukaririshwa ubatili.
Mkuu binafsi sitaki nikuaminishe.. kazi yangu ni kukuambia kuamini/kutoamini ni juu yako.. Finally results itatupa mrejesho.. ukiwa katika deep love huwezi elewa nazungumza nini hapa!
 
Wewee! Uzoefu wa kwenda wapi huo? Wengine tumewaoa pre mature, tukalea, tukatunza na sasa tunazeeka nao na hawana tofauti yoyote.

Tabia ni kama rangi ya ngozi, mtu huzaliwa nayo na kufa nayo.

Kama utaipaka mkorogo, utaibadili kwa muda na baadae itarejea katika uasili wake.

Mnazeeka bila ndoa kwa sababu ya kukaririshwa ubatili.

FACTS
 
Kiufupi Mkuu mwanamke wa umri chini ya miaka tajwa usimuwekee malengo kiivo.. expectation zako kwake ziwe below hata 30% bado wana ile mood swings!

Age ipi ya kumwekea malengo?? Mkuu hyu bibie namwandaa taratibu
 
wengine hayo hatukuyafanya na still tuliolewa faster, mwenye nia haangalii hayo ukiona mtu ameanza kuyatazama hayo kama kigezo cha ndoa, sio mume huyo
 
Back
Top Bottom