Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,645
- 155,015
wengi tunaogopa maneno, kukemewa, kugombezwa na kujaripiwa.
Wao wanawake wanadhani tumeenda magendo.
Wao wanawake wanadhani tumeenda magendo.
nahisi harufu ya limbwata, namuogopa wife kuliko ninavyomuogopa boss
hivi ulisema wife anatumia limbwata la singida ama la mombasa? bora akuwekee zaidi ili upone manake mjini hali sio hali!
wanawake wakianbiwa l love you wanapatwa na wehu, ndio hapo sasa wanaanza kuleta ubabe ndani ya nyumba.
Dawa ni moja tu, kuto waambia kwamba tunawapenda, upendo wetu tutauonyesha kwa vitendo
nahisi harufu ya limbwata, namuogopa wife kuliko ninavyomuogopa boss
kuna siku nilimtembelea ragfiki yangu nyumbani kwake.
Jamaa akaniagizia Serengeti mbili na yeye akajiagizia soda, house girl akatumwa kununua.
Muda si muda akaingia mama mwenye nyumba, na haukupita muda si mrefu hausigeli akawa analeta bia mezani.
Yule mama akaanza kufoka kuwa nyumba yake haiwezi kugeuzwa baa, akamkunja shati mume wake na kumwambia "hebu mtoe huyo kinyangarika mwenzako" niliondoka kimya kimya na sitaki tena kumtembelea mtu yoyote nyumbani kwake. Kama ni vikao, tutafanyia bar kama kawa.