Nataka nimuache demu wangu

Nataka nimuache demu wangu

Mkuu kama mahusiano uliyonayo si ya msingi kwanini uliyaanza na binti wa watu acha akugande tu hakuna namna
Mkuu mwanzo huwa mtamu na kunatofauti ndani ya miaka mitano iliyopita na sasa
 
Kwa nini usimhusishe kwenye hayo mambo? Unajuaje labda anaweza kukusupport vizuri.

Au ndio kutompenda tu.
Hapana nimeshapambanua akili yangu siwezi muhusisha kwasababu ni mtu ambaye naona anapenda sana pesa na luxury life alaf ni mtu ambaye anapenda kusolviwa vitu vyake tu peke yake
 
Omba Mtandao pendwa wa O714. Akikupa mkatae mwambie huwezi kuwa na mwanamke anaetoa O713 na akikunyima mwambie huwezi kuwa na mwanamke anaekunyima 0712
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hiii ni kijerumani ki hittler
 
Mwambie ukweli, ataumia ila baada ya muda atakuwa sawa!
Kuliko kumpa matumaini ya uongo!
Aisee inabidi nifanye tu ivo maana hakuna namna
 
Kata mawasiliano taratibu yeye mwenyewe atajiongeza
 
Kuna Ka-formulae Unamuacha Mtu Kwenye Mahusiano(Anakuwa Ndani Ya Mahusiano) Mambo Yakienda Mlama Unarudi Kimya Kimya Kama Hakikutokea Kitu.
 
Et niamwambieje ili tuachane au nifanye nini ambacho hakitaweza kufanya akachukua maamuzi ya ajabu kama kujiua maana siitaji tena mahusiano kwasasa nahis yana ninyonya damu tu siko free kufanya mambo mengine nataka nianze kufanya mambo ya msingi
Nitumie namba na picha yake then relax
 
Back
Top Bottom