Baba Matatizo
JF-Expert Member
- May 5, 2011
- 334
- 64
Baba yangu hataki kutunza familia kabisaaa.vikao vyote vimeshindwa kumrekebisha.mdogo wanguw kafaulu kuanza shule ya kata.ada ni kianzio ni laki na nusu.mpaka sasa hakuna linaloendelea.pombe anakunywa kila siku.mshahara wake +
posho ni kama laki 7 kwa mwezi.NATAKA NIKAMSHITAKI USTAWI WA JAMII KWA KUSHINDWA KULEA FAMILIA NA KUTOMPELEKA MTOTO SHULE BILA SABABU.JE INAWEZEKANA KUMPELEKA USTWAI WA JAMII?NAOMBENI MAWAZO.
posho ni kama laki 7 kwa mwezi.NATAKA NIKAMSHITAKI USTAWI WA JAMII KWA KUSHINDWA KULEA FAMILIA NA KUTOMPELEKA MTOTO SHULE BILA SABABU.JE INAWEZEKANA KUMPELEKA USTWAI WA JAMII?NAOMBENI MAWAZO.