Wanaume Tunalindana hata iweje, sasa wewe kumuhusisha Mke wake sio uanaume huo..
Cha kufanya jitaidi uonane na jamaa face to face umpe vidonge vyake kwamba anachofanya sio nawe una shida na hela uone atasemaje?
Ni bora kuhusisha marafiki wenzenu wa kiume wakamchane jamaa anazingua kuliko kumhusisha mke wake..
Wanawake hawatakiwi kujua mambo yote ya mumewe maana wenyewe tu hawajielewi. Achelewi siku kulianzisha na kuanza kumpiga madongo mumewe ana Kupa kopa kwa watu na kulipa halipi..
Kumwambia mkewe unakuwa ujamsaidia jamaa, wala kujisaidia mwenyewe zaidi ya kumdhalilisha rafiki yako wa siku nyingi..
Mda mwingine unafumba macho tu unasamehe.. Pesa kitu gani bwana, tunahonga sh ngapi kwa mwaka, Kunywa bia Bar, michango ya harusi etc..
Kama hataki kurudisha mgegedee mke wake mmalizane kwa7 zilichukuliwa kwa ajili yake.
Kama kweli ni rafiki yako kama ulivyosema huna haja ya kumdhalilisha kwa mkewe. Jiulize, kwani ukimwambia mkewe ndio hela zitapatikana???? Siku nyingine ukimsaidia mtu msaidie tu kwa kiwango kile ambacho hakitakuumiza incase mambo yake hayakwenda fresh kwa wakati.
unajua kwenye maisha, there is always NEXT TIME....mi naona achana naye we muache tu km ameamua kuingia mitini, ila naamini atakuja kukwama tena na bila haya atakutafuta..hapo sasa ndio umkumbushe hilo deni lako...pole sana mkuu.hiyo ni opsheni ya kwanza, ya pili mtishie kuwa utamwambia mkewe kuhusu suala hilo uone atafanyaje..