kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,023
- 3,458
Wakuu hope mnaendelea vizuri
Kuna mdogo wangu wa kike alimaliza chuo na sasa amemaliza almost miaka 3 kitaa bila Kazi, mwaka huu alitamani aende ila mambo yamebuma
Nina kiasi cha laki 8 nataka nimfungulie mpesa (nimuwezeshe mtaji)hiyo laki 8 n kwa ajili ya kuendesha tu mpesa, fremu nimelipia miez 8, nmemtafutia till yeye kazi yake n kuingia tuu na kuanza Kazi.
Je, hiko kiasi ni kidogo au niendelee kundunduliza ili mwisho wa siku nimpe million 1.7 kamili.
LOCATION: KAHAMA
Nimemuuliza Kama ana uzoefu wa hiyo biashara amekubali kwa kigezo Cha kusema alishawahi kufanya Kazi kwa mtu.
JE, KWA HUO MTAJI UTAMTOSHA??,maana nataka aanze kujitegemea coz kila siku wazaz wanamgombeza anakaa kaa tu kusubilia ugal wa bure wakat wamemsomesha kwa kuuza mashamba
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna mdogo wangu wa kike alimaliza chuo na sasa amemaliza almost miaka 3 kitaa bila Kazi, mwaka huu alitamani aende ila mambo yamebuma
Nina kiasi cha laki 8 nataka nimfungulie mpesa (nimuwezeshe mtaji)hiyo laki 8 n kwa ajili ya kuendesha tu mpesa, fremu nimelipia miez 8, nmemtafutia till yeye kazi yake n kuingia tuu na kuanza Kazi.
Je, hiko kiasi ni kidogo au niendelee kundunduliza ili mwisho wa siku nimpe million 1.7 kamili.
LOCATION: KAHAMA
Nimemuuliza Kama ana uzoefu wa hiyo biashara amekubali kwa kigezo Cha kusema alishawahi kufanya Kazi kwa mtu.
JE, KWA HUO MTAJI UTAMTOSHA??,maana nataka aanze kujitegemea coz kila siku wazaz wanamgombeza anakaa kaa tu kusubilia ugal wa bure wakat wamemsomesha kwa kuuza mashamba
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app