kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,023
- 3,458
Wakuu hope mnaendelea vizuri
Kuna mdogo angu wa kike alimaliza chuo na sasa amemaliza almost miaka 3 kitaa bila Kaz ,mwaka huu alitaman aende jkt ila mambo yamebuma
Nina kias Cha laki 8 nataka nimfungulie mpesa (nimuwezeshe mtaji)hiyo lak 8 n kwa ajir ya kuendesha tu mpesa ,frem nimelipia miez 8,nmemtafutia till ye Kaz yake n kuingia tuu na kuanza Kaz,
Je hiko kias n kidogo au niendelee kundunduliza ili mwisho wa siku nimpe million 1.7 kamili.
LOCATION :KAHAMA
Nimemuuliza Kama anauzoefu wa hiyo biashara amekubali kwa kigezo Cha kusema alishawah kufanya Kaz kwa mtu.
JE KWA HUO MTAJI UTAMTOSHA??,maana nataka aanze kujitegemea coz kila siku wazaz wanamgombeza anakaa kaa tu kusubilia ugal wa bure wakat wamemsomesha kwa kuuza mashamba
MABAHARIA:MSINICHAPIE MDOGOANGU
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna mdogo angu wa kike alimaliza chuo na sasa amemaliza almost miaka 3 kitaa bila Kaz ,mwaka huu alitaman aende jkt ila mambo yamebuma
Nina kias Cha laki 8 nataka nimfungulie mpesa (nimuwezeshe mtaji)hiyo lak 8 n kwa ajir ya kuendesha tu mpesa ,frem nimelipia miez 8,nmemtafutia till ye Kaz yake n kuingia tuu na kuanza Kaz,
Je hiko kias n kidogo au niendelee kundunduliza ili mwisho wa siku nimpe million 1.7 kamili.
LOCATION :KAHAMA
Nimemuuliza Kama anauzoefu wa hiyo biashara amekubali kwa kigezo Cha kusema alishawah kufanya Kaz kwa mtu.
JE KWA HUO MTAJI UTAMTOSHA??,maana nataka aanze kujitegemea coz kila siku wazaz wanamgombeza anakaa kaa tu kusubilia ugal wa bure wakat wamemsomesha kwa kuuza mashamba
MABAHARIA:MSINICHAPIE MDOGOANGU
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app