Tumbili in town
JF-Expert Member
- Jun 20, 2025
- 400
- 633
Imekaa poa nenda katekelezeNimeona UTT inajadiliwa sana kuna mmoja amesema ukiwekeza mil 50 kila mwezi utapata faida ya 400k, nataka nikope mil 50 NIWEKEZE UTT ili zile faida za 400k Kila mwezi nirejeshe benki mwisho wa siku niwe na mil 50 zangu UTT na deni nimemaliza
Ndio nataka nijifunzeKwani riba ya bank ni tsh ngapi na unatakiwa kurudisha kwa muda gani mbona kama nikitu hakiwezekani,
Uta tupa mrejeshooo wengine tupate experienceNimeona UTT inajadiliwa sana kuna mmoja amesema ukiwekeza mil 50 kila mwezi utapata faida ya 400k, nataka nikope mil 50 NIWEKEZE UTT ili zile faida za 400k Kila mwezi nirejeshe benki mwisho wa siku niwe na mil 50 zangu UTT na deni nimemaliza
Huwa marejesho ya bank yanaweza kuwa miaka 3 , au 2 au 5 hivyo ningumu kurejesha kwa hiyo laki nneNdio nataka nijifunze
Hesabu haziko sawa mkuuUkiweka utt 50m
Kwa mwezi utapata faida ya 500k
Kwa mwaka ni 6m
Je marejesho ambayo utakuwa unarudisha kwenye huo mkopo utatoa wapi???
Na kama utakuwa unakatwa kwenye mshahara then what?
Ushauri wangu weka kila mwezi laki mbili kwa miaka 15 utapata si chini ya 55m
Mkopo wa mil 50 benki wanataka marejesho kiasi Gani Kwa mwezi?Ukiweka utt 50m
Kwa mwezi utapata faida ya 500k
Kwa mwaka ni 6m
Je marejesho ambayo utakuwa unarudisha kwenye huo mkopo utatoa wapi???
Na kama utakuwa unakatwa kwenye mshahara then what?
Ushauri wangu weka kila mwezi laki mbili kwa miaka 15 utapata si chini ya 55m
Miaka 15, jumla atakuwa na 99MUkiweka utt 50m
Kwa mwezi utapata faida ya 500k
Kwa mwaka ni 6m
Je marejesho ambayo utakuwa unarudisha kwenye huo mkopo utatoa wapi???
Na kama utakuwa unakatwa kwenye mshahara then what?
Ushauri wangu weka kila mwezi laki mbili kwa miaka 15 utapata si chini ya 55m
Sahihi basi afanye ivoMiaka 15, jumla atakuwa na 99M
Akiweka wapi,utt au?Miaka 15, jumla atakuwa na 99M
NdioAkiweka wapi,utt au?
Nikweli mkuu unaakili sanaUTT ni zao la vanilla, Dec shaur yako
Ikiwa anakatwa kwenye mshahara mpaka mkopo wa mshahara unaisha ATAKUA amepata faida. On condition hiyo riba ya mwezi asiichukue awe anaireinvest.Ukiweka utt 50m
Kwa mwezi utapata faida ya 500k
Kwa mwaka ni 6m
Je marejesho ambayo utakuwa unarudisha kwenye huo mkopo utatoa wapi???
Na kama utakuwa unakatwa kwenye mshahara then what?
Ushauri wangu weka kila mwezi laki mbili kwa miaka 15 utapata si chini ya 55m
Hiyo 99M unaipataje?Miaka 15, jumla atakuwa na 99M