Kasome tena jitahidi sana posho ni km ya daktar ajira zake zipo na huwezi kuajiriwa vijijini ni kwenye district hospitals(dh) na regional hospitals
nataka nikasomee health records and information management ....
naomba kama kuna mwenye uwelewa juu ya hii kozi na pia je upatikanaji wake wa ajira ni mrahisi au mgumu?
Huwa napenda kushauri kwenye mambo haya. Kwanza ufahamu kuwa sisi ni washauri tu, mwamuzi anabaki kuwa ni wewe. kwa siku hizi usifanye chaguo la kozi kwa mtazamo wa ajira. Ulimwengu tuliopo sio rafiki kiasi cha kuweza kumuhakikishia msomaji wa kozi fulani kuwa adopted na soko right a way. Sina uelewa sana wa content za hizo kozi na labda kabla wengine hawajaendelea kukujuza content mimi nakushauri jipime uwezo wako, na kitu gani unakipenda zaidi kukifanya kwenye maisha yako ndio ukakisomee hicho. AJIRA NGUMU popote pale asikudanganye mtu. leo inaweza kuonekana ina ajira lakini hujui teknolojia itakuwaje wakati huo na huenda watu wa kozi hiyo wasiajiriwe kwa sababu computer inaweza kufanya hicho kitu au ukalazimika kusoma zaidi ili kuwa competitive. Kama bado unahitaji guidance tuwasiliane.
lakini nadhani ingekuwa poa pia ungeeleza course hy inatolewa vyuo gani ili iwe rahisi kufika au kufuatilia mambo ya msingi kuhusu kujiunga, masomo anayotakiwa awe amesoma na kuyafauru kwa kiwango gani. Itatusaidia wengi pia!
lakini nadhani ingekuwa poa pia ungeeleza course hy inatolewa vyuo gani ili iwe rahisi kufika au kufuatilia mambo ya msingi kuhusu kujiunga, masomo anayotakiwa awe amesoma na kuyafauru kwa kiwango gani. itatusaidia wengi pia!
mm nimetuma maombi TANDABUI
wanatowa certicate na diploma
powa mkuu