Hans017
Member
- Jun 26, 2017
- 12
- 4
Inaonekana wazi nguvu huna na km ungekuwa nazo usingefikiria viagra akili za kuambiwa changanya na zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hafi Ila cha moto atakiona atataman ashuke ii sayar apande nyingn
Tujulishe tujueKuna wanaume mnapenda kujichoresha na kujishushia heshima......we unaona ujanja mwenyewe!!! Mngekuwa mnajua
Wat goes around comes aroundKwani unafikiri na yeye mkewe haliwi na kaka wa huyo shogake?
What goes around comes around tu 😀
Hakuna Mzee wa sasa, wazee wote ni wazamani.Sasa unasema kuwa ni mzima 100% viagra ya nini???Afu wazee wa zamani mna tabu
Endeleeni tu acha na sisi tuwachore vizuri......uwa naenjoy sanaTujulishe tujue
Kwahyo doz hata huko juu yakifua hatofika ata collapse kmya kmyaHafi Ila cha moto atakiona atataman ashuke ii sayar apande nyingn
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuelimishe tubadilikeEndeleeni tu acha na sisi tuwachore vizuri......uwa naenjoy sana
Itakua jamaa anapenda San kumeza dawa ndo maan kaja kupata ushaur wa madktar wa jf
Mtaelimishwa siku mtakapoacha tabia zenu maana hata mkielimishwa sasa hivi hamuwezi kuacha.....so tuendeleeni tu hivo hivoTuelimishe tubadilike
Wanatembeza wamaasai mkuu...Huo mzizi unapatikana wapi
Mkuu umemshauri jamaa Poa sana, Sasa na mie ntumie kaswali apo apo ikiwa uko Maji tayari (Kulewa) na ukatupia ivo vidonge niaje?Kutumia viagra za dukani hkikisha hauna tatizo lolote la kiafya linalohusiana na mzunguko wa damu kama vile blood pressure etc.
Kama uliwahi kua na tatizo hilo au pengine unalo na hujui basi usijaribu kabisa maana utafia gest house na utaleta fedheha kwa familia yako.
Kama unawasiwasi na show zako nakushauri tafuta hivi vitu:
Maziwa fresh (angalau glass moja)
Tende ( tunazokula wakati wa mfungo wa Ramadhan)
Asali (yoyote ile nyuki wadogo au wakubwa).
Cha kufanya:
Tende zako zitoe mbegu, unaweza kuhitaji kuanzia tende 20 (kuboresha matokeo yako).
Baada ya hapo, tia maziwa kwenye blenda, tia tende zako zisizo na mbegu, tia vijiko vya asali kuanzia vitatu.
Washa blenda yako ivisage vizuri mpaka viwe juice kabisa.
Baada kukamilisha juice yako tia kwenye kikombe/glass then kunywa kabla ya 1 hour kwenda kwenye show.
Kwa siku hiyo kumbuka kunywa maji ya kutosha kuanzia asubuhi.
Piga show mkuu.
Usisahau kuleta mrejesho.
Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
Kama huwezi kupata hiyo juice hapo juu na umejihakikishia huna tatizo la kiafya basi nenda pharmacy nunua dawa inaitwa Erecto.
Nakushauri ununue kidonge kimoja cha gram 50 tu, meza nusu saa kabla ya mechi then kutana na mpinzani wako.
Usinunue kidonge cha gram 100.
Sasa Mkuu iyo laki saba ungewekeza saizi si una boda boda yakoAisee habarini, wadau nina ahadi ya kukutana na mdogo wa rafiki ya mke wangu nikampige gemu Ijumaa ijayo. Sasa nataka nikapige gemu la ukweli na kuachana nae mazima.
Sasa juzi nimekaa nikasema nijaribu viagra ili performance ipande nimle kweli kweli japo sina tatizo lolote la kuamsha dude ni mzima 100 asilimia.
Nimejaribu kucheki internet nikaona kama inaweza kuwa na makomplication na ma side effect kibao pia wameandika sijui mpaka daktari akuandikie .
Sasa je nauliza nikienda famasi siwezi kupata na kununua tu kama tunavonunua panado kiulaini??
Pia kama nikila nitarajie nini ?nisije nikala dude likawa halishuki nitashindwa kwenda kazini.
Huyo mtoto ni mzuri anasoma chuo, ashakula pesa zangu nyingi zaidi ya laki 7. Sasa nataka nimlie viagra