Nataka nifanye mazoezi ya kukimbia

Nataka nifanye mazoezi ya kukimbia

Kwani ukikutwa na damu nyingi unalazimishwa kuchangia?
Kama unakimbia ili ukate uzito na kutengeneza mzunguko mzuri wa damu ni sawa, kama unakwenda kukimbia kwa hiko unachosema kukwepa zoezi la uchangiaji damu naona ni ujinga, kukimbia kunaongeza damu na kufanya mzunguko wa damu uwe mzuri.
Kwani mm nimesema mimelazimishwa kuchangia?na kama kufanya mazoezi kunaongeza damu basi ni mtihani
 
Back
Top Bottom