Mr sule
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 607
- 1,097
Ni ndoto yangu ya siku nyingi kuanziashia clinic ambao nitaibrandi mikoa kama Dodoma, Mwanza, Dar na Arusha.
Wazo nishalifanyia kazi muda sana ila nimekuja kwenye wajuzi na wenye uzoefu wa biashara kutia Neno kwa mtu mwenye wazo la kuanziasha biashara ya clinic kabla sijapiga hatua zaidi.
Nataka mawazo yenye kwenye changamoto, Mtaji, ushindani na mengine yanayohusiana.
Karibu
Wazo nishalifanyia kazi muda sana ila nimekuja kwenye wajuzi na wenye uzoefu wa biashara kutia Neno kwa mtu mwenye wazo la kuanziasha biashara ya clinic kabla sijapiga hatua zaidi.
Nataka mawazo yenye kwenye changamoto, Mtaji, ushindani na mengine yanayohusiana.
Karibu