my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,402
Mwezi huu wa tisa naanza chuo rasmi mwaka wa kwanza, naenda kusoma radiology. Sasa naanza ku behave kisomi you know na acha mambo ya kijinga nakuwa msomi. Nitakuwa nawaandikia mawili matatu kule JF doctor. Kwasabau nataka ni behave kisomi Nitakuwa siingii sana huku mmu nitakuwa nasaidia watu wenye matatizo kule kwa forum yetu doctors 😂 nabadilisha forum kwaherini mmu. Nawapenda sana 💖
Doctor mtarajiwa DR MY NAME IS MY NAME
Doctor mtarajiwa DR MY NAME IS MY NAME
nabadilisha forum kwaherini mmu. Nawapenda sana 