Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
- Thread starter
-
- #61
ulishawahi kujaribu na ng'ombe mkuu? Manake kwa huu msisitizo unaonekana una uzoefu!
Nenda kwenye maombi pale kwa mzee wa upako mama hilo ni pepo linavuruga mbegu za mmeo ,NAKEMEA KATIKA JINA LA YESU KRISTO ,NAKUAMURU KILA PEPO LILOFUNGA KIZAZI CHAKO YATOKE,MOTO WA ROHO MTAKATIFU USAFISHE MFUMO WOTE WA UZAZI NAWE UWE NA FURAHA KAMA WANAWAKE WENGINE.NAKUTABIRIA MAPACHA MWEZI KAMA HUU MWAKANI.Kama unaamini sema amen,utulie kwenye uwepo wa bwana Yesu na atakubari.
hello bnt pole na ucjali yote hyo ni mipango ya mungu bt u have 2 go kwa maspecialist wa mambo hayo thn uanze clinic afu umtafute the one u trust ambaye yuko fit halaf hyomkienda wote kwa doc atawapa schedule nzuri tu ya namna ya kutafuta mtt @ the end of the day utampata hyo mtt........
Napita tu.
kamuadopt bujibuji
Duh, naona humtakii maisha marefu kabakabana..
Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani
Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani
habari yako mkuu...?? inakuaje sasa?miaupo wapii??
Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani
Tafuta dume la mbegu imara, inaonekana huyo uliyenaye ana matatizo
unaishi sehemu gani nikutafute. Hilo si jambo kubwa
pamoja na kwamba madaktari wamekueleza kuwa unaweza kupata ujauzito,kuna mambo mawili unahitaji kuyafuatilia
1.yakupasa mwenzawako akapimwe ili kujua kama mbegu zake zinaweza rutubisha yai lako
2.wewe mwenyewe yakupasa ukapime tena kuna kaugonjwa kanasumbua sana kanaitwa UTERINE MYOMA ni vyema ucheki hilo,maana wadada wengi hawajui kuwa wanaumwa lakini kiukweli hilo ni tatizo kubwa sana ktk kuzuia ujauzito kwa akinamama
habari yako mkuu...?? inakuaje sasa?mia
Nitafute bana kwa nini uteseke?
Kwa jina la Yesu pokea muujiza wako!
it is confirmd ni wa kwake,ana miaka mitatu sasa
Confirmed kivipi?