Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,166
Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani
Tuwasiliane
Kama ujawahi kushika mimba hata siku moja? Kama tatizo mtoto usijali Ritz yupo!
Nenda kwa ng'ombe.
071214.......... Au we tuma PM tu ueleze kwa kirefu nitakuwezesha. Kumbuka mwanamke akiwezeshwa anaweza.
wee ni doctor au mchungaji??
maombi tu na nguo zako? Ubarikiwe!
huyo ng'ombe ni kaka yako?
Nenda kafanye na ng'ombe
sijakupati vizuri vile unataka kupata mimba au mtoto? kama mtoto wapo wa kuadopt mimba hapo bagumu.Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani
amini amini amini, utapata!
sijakupati vizuri vile unataka kupata mimba au mtoto? kama mtoto wapo wa kuadopt mimba hapo bagumu.
pagumu na si bagumu