Nataka mtoto

Kabakabana

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
5,550
Reaction score
1,166
Leo nimekaa chini nimewaza sana kuhusu maisha yangu in general, na nimegundua ninamiss kitu kimoja nacho ni mtoto nimetafuta kwa mda mrefu sasa mpaka nahisi mimi mgumba ingawa madaktari wameniambia nina uwezo wa kuconceive!
Naombeni maombi yenu wanajf ili angalau mwakani mwezi kama huu na mimi niitwe mama flani
 

Tuwasiliane
 
Kama ujawahi kushika mimba hata siku moja? Kama tatizo mtoto usijali Ritz yupo!
 
071214.......... Au we tuma PM tu ueleze kwa kirefu nitakuwezesha. Kumbuka mwanamke akiwezeshwa anaweza.
 
sijakupati vizuri vile unataka kupata mimba au mtoto? kama mtoto wapo wa kuadopt mimba hapo bagumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…