Nataka kwenda Makka kumpiga mawe Shetani!

Nataka kwenda Makka kumpiga mawe Shetani!

maana shetani roho sio binadamu ni sawa na kusema unampiga mawe jini
Hivi wewe mwenyewe unakielewa ulichoandika? Hebu soma tena mwenyewe halafu ujicheke.

Nini tofauti ya jini na roho?
 
Sasa shetani si ni wewe mwenyewe hapo unaenda kumpiga nani huko Macca au wewe ndio unajipeleka ukapigwe mawe?!

Usisahau, shetani wa mtu ni yeye mwenyewe.
 
"Hata Mtume alifuga Majini"
By Dr. Sule:
Sasa utawaaminije wafuga Majini?
 
Tafadhali yako ipo dubious.

Jadili tendo la kumpiga mawe shetani lina maana gani kuliko kujifanya muislam wakati wewe ni mgalatia mwenzangu
Shetani hana dini.

Naamini shetani atakuja afie Africa maana Dark skin wana hasira nae sana utafikiri Shetani ndo amewafikisha hapa
 
Vichekesho vya Uislam, hapo hapo wanasema Mudy alimsilimisha Iblis akawa muislam so ni ndugu yao katika uislam then wanaendelea kumpiga mawe kwenye nyumba yake iliyopo karibu na Nyumba ya Allah hapo Mecca hahaha
 
Ni kama uchawi wa kula nyama za watu ulianzia hapa

1772403056169.png
 
Kwa taarifa yako tu ni kwamba hii issue ya hijja yote inahusisha historia ya Nabii Ibrahim (nyinyi munamwita Abraham).

Kuna vitu vingi ndani ya Hijja lakini hilo la upigaji wa mawe kwenye Jamarat ni kama symbol ya kuashiria kumlaani shetani na kukumbushia uwepo wake. Siyo kwamba huyo shetani mwenyewe ndiyo anaishi pale.
Shetani ulishawahi kumwona,na anaishi wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom