Nataka kuzaa watoto si chini ya 10

Nataka kuzaa watoto si chini ya 10

Aii unafikiri kuzaa hovyo na wanawake tofauti ni sifa?raha ya watoto uzae na mama mmoja, mlee watoto wenu pamoja kwa upendo na uwe na uwezo wa kuwalea, kama mlikubaliana kuzaa wawili na unajisikia kuongeza talk to your wife atakuelewa hata kama it will take time, acha kumkaribisha shetani kwenye ndoa yako ndugu!

Wispa can u whisper it again .The dude hasn't yet heard u.
 
Naungana na madaktari kwamba kila pafu moja la bangi linakaa kichwani miaka saba.... Mkuu nadhani umepitiliza mapafu ya bangi kuzidi umri wako wa kuishi, kwa mbali nakuona mitaa ya MIREMBE Dodoma

We jamaa Yaani umeona fact hiyo tu, hujafikiria zaidi ya hapo.
 
ulio nao wana umri gani? kabla ya kupata vidada, jiangalie kipato chako, watoto sio mchezo, sio mnaleta watoto kumi alafu mnawavalisha nguo za mtoto wa dada

Unataka unamaanisha wasioweza kutunza Hata mtoto mmoja Hawana haki Ya kuoa na kuzaa?
 
Unazaa watoto 10 una uhakika wa kuwatunza? Una uhakika wa kuishi miaka mingi kuhakikisha wanapata huduma stahiki mpaka watakapokua watu wazima wa kujitegemea???

Nahisi umekurupuka dogo, maisha ya sasa ni magumu sana, usitegemee leo una afya Unafanya kazi na kesho pia utakuwa hivyo!

Fikiria upya kabla ya kufanya hayo unayotaka kufanya#

Kwan unamjua mwenye post anamaisha gan? Usikariri maisha kwa kuyaangalia yako inawezekana yeye nimoja wa mabilionea ..
 
Utaweza kuwa unaongea nao wote?

Watoto watakua utasema tu heh mwanangu kakua wakati hujachangia chochote kwenye ukuaji zaidi ya chakula na mavazi.

Hata shule hutoweza kuwapeleka shule za kueleweka.
anakwambia elimu bure!
 
Elimu sasa hivi bure na kwa tetesi nilizopata mda si punde chakula nacho kitashuka bei hadi kilo ya unga mia na 50 kufikia mwezi wa January, we zaa tu hata 30 magufuli yupo
 
mtu kuoa haimaanishi yuko tayari kuwa na mtoto
Mambo Ya wazungu tuwaachie wazungu. Sie Asili yetu ni Afrika. Atakayezaa mtoto mmoja na mie wa kumi tutakula sahani moja na huenda nikamkimbiza zaidi. Kuwa na mtoto mmoja ni Uoga wa Maisha, na Uoga ni adui number moja wa mafanikio
 
Back
Top Bottom