TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,421
Habari wakuu,
Nina seving yangu ya milion 50 nataka kuweka finca fixed deposit nasikia wanatoa riba ya 14% kwa mwaka tofauti na bank nyingine wao hutoa 6%.
Asilimia 14% za finca zimenivutia nataka kuzifata wasiwasi wanguu kuhusu hii bank usalama sije ikafilisiwa na BOT, Je pesa zetu tutazipataje?
Tanzania wameingi mnao mwaka 1998
Orginal ya hii bank was funded ware?
Nina seving yangu ya milion 50 nataka kuweka finca fixed deposit nasikia wanatoa riba ya 14% kwa mwaka tofauti na bank nyingine wao hutoa 6%.
Asilimia 14% za finca zimenivutia nataka kuzifata wasiwasi wanguu kuhusu hii bank usalama sije ikafilisiwa na BOT, Je pesa zetu tutazipataje?
Tanzania wameingi mnao mwaka 1998
Orginal ya hii bank was funded ware?