Maoni kwa Bank kuu( BOT) kuhusu kushusha riba kwenye uchumi "Wananchi watafaidika?

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,099
Wanabodi, Napandisha huu uzi nikiomba hoja zangu zijibiwe na Bank of Tanzania au mtu yeyote ambaye amepractise Banking pande zote mbili upande wa kuendesha Bank za Biashara mfano Exim, CRDB, DTB, I AND M Bank na zingine nyingi tulizonazo Tanzanian, na Upande wa pili ni upande wa Supervision hapa naoengelea hawa wanaojiita Regulator au wasimamizi yaani Benki kuu

Mosi : kushusha rate kutoka 9 percent mpaka 7 percent ili Benki ziweze kuchukua pesa toka BoT na zianze kukopesha, Je watanzania kwa sasa wanakopesheka?

Watanzania wengi kwa Sasa hawakopesheki kirahisi ukiangalia Credit rating zao au credit worthness yao imekua ndogo sana, Wengi wameshindwa kulipa mikopo yao walionayo kwa Sasa na hata Bank zikiamua kuuza mali za wakopaji haziuziki kabisa, Je kwa hali hii hizo Bank zikichukua pesa BOT zitamkopesha nani mwenye cash flow nzuri?

Pili, Je kwa kipindi borrowing rate ilipokuwa 9 percent kabla ya sasa, mbona mlikuwa mnalalamika na kuzihitaji Bank za biashara zijitahidi kupunguza mikopo mfu "yaani Non performing loan " Bank zimejitahidi kusafisha vitabu kwa kufuta hii mikopo kwa kuihesabu kama hasara katika mahesabu yao, Ni Bank gani itakubali kukopesha kwa watu wasioaminika?

Tatu :Hii monetary expansionary policy( yaani kuongeza ujazo wa pesa kwenye uchumi kupitia mabenki yaweze kukopesha, Ni Bank gani itayokubali kuingia gharama ya kukopa kwenda kuwakopesha watu wasiokuwa na uwezo wa kulipa pande zote mbili wananchi wamekumbwa na low purchasing power na wafanyabiashara wanapata faida kidogo iliyokumbwa na kodi,

Back to the Topic!

Nini madhara ya BOT kushusha hii borrowing rate upande wa mabenki kulingana na barua yao

1.kutazifanya Bank zishushe riba kwenye fixed deposit za Wateja, Fixed deposit ni pesa ambazo Wateja wameamua kuweka bank kwa kipindi maalumu bila kuzitoa wakitegemea kupata riba, kwa kuwa serikali imeamua kushusha riba mpaka kwenye hati fungani yaani Treasury bills, Hakuna Bank itakayokubali kumlipa mteja wa fixed deposit rate au riba kubwa huku zenyewe zikiwekeza Bank kuu BoT zinapata rate ndogo iliyoshuka kwenye Treasury bills

2.Wateja wengi wataamua kuliquidate pesa zao au Kuamua kuzitoa Benki wakiona wanapata faida ndogo hasa hawa wa fixed deposit

Je wakizotoa Bank watazipeleka wapi wakati kwa sasa hakuna biashara itayokupa return zaidi ya hiyo rate za Bank? Na hata Bank wakikaa nazo hizo pesa watamkopesha nani?

Mwisho,

Naunga mkono serikali kwa hii hatua ya kutaka kustimulate economic growth au kuufanya uchumi ukue lakini hii hatua ya kushusha rate ni nzuri ila kwa mazingira ya sasa watu uwezo na sifa za kukopa zimeshuka, itakuwaje?

Nina uhakika BoT hata kwenye Bank za biashara Kuna watu wanauelewa mpana na wamehudhuria mafunzo toka Basel commitee

Moja ya Sababu kubwa za Benki kushindwa kufanya kazi mmehubiriwa sana na Basel commitee kuwa ni mitaji midogo yaani Minimum capital of Banks below standard, Hapa mmejitahidi kuzifunga Bank nyingi sana za biashara kuwa mtaji hauwezi kuhimili viashiria tata katika uwekezaji yaani Capital /risk weighted assets

Marekani kipindi cha hali mbaya miaka ya 2007 mpaka 2008 alifanya nini?

Moja, Marekani aliamua kuongeza mitaji na pesa kwenye makampuni Makubwa mfano GM au General Motors ili yaendelee kufanya kazi na mpaka sasa GM Motors imesimama na inamalizia kulipa pesa kwa serikali taratibu, kuna makampuni yaliyowezeshwa na serikali Marekani yameshamaliza kulipa madeni kufikia mwaka jana

Marekani aliona bila kuongeza pesa au kuziwesha Bank na kampuni zake angesababisha tatizo kubwa la ajira sana kwa wananchi wake.

Janga kubwa Huo mwaka 2006 to 2008 Marekani aliamua liwalo na liwe Benki kubwa zaidi Marekani Lehman Brothers aliamua bora ife, serikali iliamua kutoisaidia hii Bank kabisa

Kwanini Marekani ilisaidia makampuni na Benki zingine lakini sio Benki kubwa Lehman Brothers?

Nitaelezea kuhusu hii Bank kwenye concept ya "Too big to Fail "Bank kujiona kubwa itasaidiwa hata kama haichukui hatua kuzuia vihatarishi
 
Wanabodi, Napandisha huu uzi nikiomba hoja zangu zijibiwe na Bank of Tanzania au mtu yeyote ambaye amepractise Banking pande zote mbili upande wa kuendesha Bank za Biashara mfano Exim, CRDB, DTB, I AND M Bank na zingine nyingi tulizonazo Tanzanian, na Upande wa pili ni upande wa Supervision hapa naoengelea hawa wanaojiita Regulator au wasimamizi yaani Benki kuu

Mosi : kushusha rate kutoka 9 percent mpaka 7 percent ili Benki ziweze kuchukua pesa toka BoT na zianze kukopesha, Je watanzania kwa sasa wanakopesheka?

Watanzania wengi kwa Sasa hawakopesheki kirahisi ukiangalia Credit rating zao au credit worthness yao imekua ndogo sana, Wengi wameshindwa kulipa mikopo yao walionayo kwa Sasa na hata Bank zikiamua kuuza mali za wakopaji haziuziki kabisa, Je kwa hali hii hizo Bank zikichukua pesa BOT zitamkopesha nani mwenye cash flow nzuri?

Pili, Je kwa kipindi borrowing rate ilipokuwa 9 percent kabla ya sasa, mbona mlikuwa mnalalamika na kuzihitaji Bank za biashara zijitahidi kupunguza mikopo mfu "yaani Non performing loan " Bank zimejitahidi kusafisha vitabu kwa kufuta hii mikopo kwa kuihesabu kama hasara katika mahesabu yao, Ni Bank gani itakubali kukopesha kwa watu wasioaminika?

Tatu :Hii monetary expansionary policy( yaani kuongeza ujazo wa pesa kwenye uchumi kupitia mabenki yaweze kukopesha, Ni Bank gani itayokubali kuingia gharama ya kukopa kwenda kuwakopesha watu wasiokuwa na uwezo wa kulipa pande zote mbili wananchi wamekumbwa na low purchasing power na wafanyabiashara wanapata faida kidogo iliyokumbwa na kodi,

Back to the Topic!

Nini madhara ya BOT kushusha hii borrowing rate upande wa mabenki kulingana na barua yao

1.kutazifanya Bank zishushe riba kwenye fixed deposit za Wateja, Fixed deposit ni pesa ambazo Wateja wameamua kuweka bank kwa kipindi maalumu bila kuzitoa wakitegemea kupata riba, kwa kuwa serikali imeamua kushusha riba mpaka kwenye hati fungani yaani Treasury bills, Hakuna Bank itakayokubali kumlipa mteja wa fixed deposit rate au riba kubwa huku zenyewe zikiwekeza Bank kuu BoT zinapata rate ndogo iliyoshuka kwenye Treasury bills

2.Wateja wengi wataamua kuliquidate pesa zao au Kuamua kuzitoa Benki wakiona wanapata faida ndogo hasa hawa wa fixed deposit

Je wakizotoa Bank watazipeleka wapi wakati kwa sasa hakuna biashara itayokupa return zaidi ya hiyo rate za Bank? Na hata Bank wakikaa nazo hizo pesa watamkopesha nani?

Mwisho,

Naunga mkono serikali kwa hii hatua ya kutaka kustimulate economic growth au kuufanya uchumi ukue lakini hii hatua ya kushusha rate ni nzuri ila kwa mazingira ya sasa watu uwezo na sifa za kukopa zimeshuka, itakuwaje?

Nina uhakika BoT hata kwenye Bank za biashara Kuna watu wanauelewa mpana na wamehudhuria mafunzo toka Basel commitee

Moja ya Sababu kubwa za Benki kushindwa kufanya kazi mmehubiriwa sana na Basel commitee kuwa ni mitaji midogo yaani Minimum capital of Banks below standard, Hapa mmejitahidi kuzifunga Bank nyingi sana za biashara kuwa mtaji hauwezi kuhimili viashiria tata katika uwekezaji yaani Capital /risk weighted assets

Marekani kipindi cha hali mbaya miaka ya 2007 mpaka 2008 alifanya nini?

Moja, Marekani aliamua kuongeza mitaji na pesa kwenye makampuni Makubwa mfano GM au General Motors ili yaendelee kufanya kazi na mpaka sasa GM Motors imesimama na inamalizia kulipa pesa kwa serikali taratibu, kuna makampuni yaliyowezeshwa na serikali Marekani yameshamaliza kulipa madeni kufikia mwaka jana

Marekani aliona bila kuongeza pesa au kuziwesha Bank na kampuni zake angesababisha tatizo kubwa la ajira sana kwa wananchi wake.

Janga kubwa Huo mwaka 2006 to 2008 Marekani aliamua liwalo na liwe Benki kubwa zaidi Marekani Lehman Brothers aliamua bora ife, serikali iliamua kutoisaidia hii Bank kabisa

Kwanini Marekani ilisaidia makampuni na Benki zingine lakini sio Benki kubwa Lehman Brothers?

Nitaelezea kuhusu hii Bank kwenye concept ya "Too big to Fail "Bank kujiona kubwa itasaidiwa hata kama haichukui hatua kuzuia vihatarishi
jamani wachumi mtudadavulie mi naona hapa mwanza NBC wanan angoa ATM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asante sana kijana .
Kwa sasa hakuna namna, ni jukumu La serikali kuyaokoa makampuni makubwa yanayoajili watu wengi na kuzisaidia Bank

Kwani kufa kwa Bank moja kuna sababisha athari kubwa sana kwenye Bank zenyewe shirikishi na wananchi kwa ujumla

Kufa kwa Bank moja kunaweza pelekea kufa kwa Bank zingine zaidi kwenye uchumi, Hizi Bank zinashirikiana kwenye mikopo sana na uwekezaji
 
Hapo kwenye pp yaani purchasing power nimeelewa sana. Watu wengi kiukweli wana madeni MENGI sana. Leo nimepita benki moja nimekuta Wateja wamekaaa kwenye foleni km hospitali za Zamani kwenda kuwaona maloan officer. Ila hali Mbaya. Watumishi daily wanauza MIKOPO kwa kufanya topping up japo wapate ada za watoto lkn si kujenga ambako kungeongeza money circulation kwa kuwalipa mafundi na vibarua. Siku hz mafundi wamechoka sana. Mimi nafikiri wangewabust salary watumishi na kushusha tena riba ya mabenki mtaani kungependeza sana. Uwezo wa watu kununua na kuuza ungeongezeka japo kwa muda mfupi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kwenye pp yaani purchasing power nimeelewa sana. Watu wengi kiukweli wana madeni MENGI sana. Leo nimepita benki moja nimekuta Wateja wamekaaa kwenye foleni km hospitali za Zamani kwenda kuwaona maloan officer. Ila hali Mbaya. Watumishi daily wanauza MIKOPO kwa kufanya topping up japo wapate ada za watoto lkn si kujenga ambako kungeongeza money circulation kwa kuwalipa mafundi na vibarua. Siku hz mafundi wamechoka sana. Mimi nafikiri wangewabust salary watumishi na kushusha tena riba ya mabenki mtaani kungependeza sana. Uwezo wa watu kununua na kuuza ungeongezeka japo kwa muda mfupi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, Kikubwa hapa ni kuongeza uwezo wa kununua kwa wananchi na mshahara kuongeza ni moja ya silaha ya serikali kuongeza purchasing power

Hakuna jinsi lazima serikali ikubali kutumia pesa, kwenye nchi yeyote duniani serikali ndie mlaji na mtumiaji namba moja
 
Wanabodi, Napandisha huu uzi nikiomba hoja zangu zijibiwe na Bank of Tanzania au mtu yeyote ambaye amepractise Banking pande zote mbili upande wa kuendesha Bank za Biashara mfano Exim, CRDB, DTB, I AND M Bank na zingine nyingi tulizonazo Tanzanian, na Upande wa pili ni upande wa Supervision hapa naoengelea hawa wanaojiita Regulator au wasimamizi yaani Benki kuu

Mosi : kushusha rate kutoka 9 percent mpaka 7 percent ili Benki ziweze kuchukua pesa toka BoT na zianze kukopesha, Je watanzania kwa sasa wanakopesheka?

Watanzania wengi kwa Sasa hawakopesheki kirahisi ukiangalia Credit rating zao au credit worthness yao imekua ndogo sana, Wengi wameshindwa kulipa mikopo yao walionayo kwa Sasa na hata Bank zikiamua kuuza mali za wakopaji haziuziki kabisa, Je kwa hali hii hizo Bank zikichukua pesa BOT zitamkopesha nani mwenye cash flow nzuri?

Pili, Je kwa kipindi borrowing rate ilipokuwa 9 percent kabla ya sasa, mbona mlikuwa mnalalamika na kuzihitaji Bank za biashara zijitahidi kupunguza mikopo mfu "yaani Non performing loan " Bank zimejitahidi kusafisha vitabu kwa kufuta hii mikopo kwa kuihesabu kama hasara katika mahesabu yao, Ni Bank gani itakubali kukopesha kwa watu wasioaminika?

Tatu :Hii monetary expansionary policy( yaani kuongeza ujazo wa pesa kwenye uchumi kupitia mabenki yaweze kukopesha, Ni Bank gani itayokubali kuingia gharama ya kukopa kwenda kuwakopesha watu wasiokuwa na uwezo wa kulipa pande zote mbili wananchi wamekumbwa na low purchasing power na wafanyabiashara wanapata faida kidogo iliyokumbwa na kodi,

Back to the Topic!

Nini madhara ya BOT kushusha hii borrowing rate upande wa mabenki kulingana na barua yao

1.kutazifanya Bank zishushe riba kwenye fixed deposit za Wateja, Fixed deposit ni pesa ambazo Wateja wameamua kuweka bank kwa kipindi maalumu bila kuzitoa wakitegemea kupata riba, kwa kuwa serikali imeamua kushusha riba mpaka kwenye hati fungani yaani Treasury bills, Hakuna Bank itakayokubali kumlipa mteja wa fixed deposit rate au riba kubwa huku zenyewe zikiwekeza Bank kuu BoT zinapata rate ndogo iliyoshuka kwenye Treasury bills

2.Wateja wengi wataamua kuliquidate pesa zao au Kuamua kuzitoa Benki wakiona wanapata faida ndogo hasa hawa wa fixed deposit

Je wakizotoa Bank watazipeleka wapi wakati kwa sasa hakuna biashara itayokupa return zaidi ya hiyo rate za Bank? Na hata Bank wakikaa nazo hizo pesa watamkopesha nani?

Mwisho,

Naunga mkono serikali kwa hii hatua ya kutaka kustimulate economic growth au kuufanya uchumi ukue lakini hii hatua ya kushusha rate ni nzuri ila kwa mazingira ya sasa watu uwezo na sifa za kukopa zimeshuka, itakuwaje?

Nina uhakika BoT hata kwenye Bank za biashara Kuna watu wanauelewa mpana na wamehudhuria mafunzo toka Basel commitee

Moja ya Sababu kubwa za Benki kushindwa kufanya kazi mmehubiriwa sana na Basel commitee kuwa ni mitaji midogo yaani Minimum capital of Banks below standard, Hapa mmejitahidi kuzifunga Bank nyingi sana za biashara kuwa mtaji hauwezi kuhimili viashiria tata katika uwekezaji yaani Capital /risk weighted assets

Marekani kipindi cha hali mbaya miaka ya 2007 mpaka 2008 alifanya nini?

Moja, Marekani aliamua kuongeza mitaji na pesa kwenye makampuni Makubwa mfano GM au General Motors ili yaendelee kufanya kazi na mpaka sasa GM Motors imesimama na inamalizia kulipa pesa kwa serikali taratibu, kuna makampuni yaliyowezeshwa na serikali Marekani yameshamaliza kulipa madeni kufikia mwaka jana

Marekani aliona bila kuongeza pesa au kuziwesha Bank na kampuni zake angesababisha tatizo kubwa la ajira sana kwa wananchi wake.

Janga kubwa Huo mwaka 2006 to 2008 Marekani aliamua liwalo na liwe Benki kubwa zaidi Marekani Lehman Brothers aliamua bora ife, serikali iliamua kutoisaidia hii Bank kabisa

Kwanini Marekani ilisaidia makampuni na Benki zingine lakini sio Benki kubwa Lehman Brothers?

Nitaelezea kuhusu hii Bank kwenye concept ya "Too big to Fail "Bank kujiona kubwa itasaidiwa hata kama haichukui hatua kuzuia vihatarishi
Sasa mbona kama wewe una uelewa mzuri kwenye mambo haya ya banking? Majibu gani unataka upewe sasa? Au unauliza maswali ya mtihani ambayo mwalimu tayari ana marking scheme?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona kama wewe una uelewa mzuri kwenye mambo haya ya banking? Majibu gani unataka upewe sasa? Au unauliza maswali ya mtihani ambayo mwalimu tayari ana marking scheme?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimecheka sana sana, Sometimes siku nyingine humu Jf tunaamua kuweka utani pembeni na kuelezea ukweli nini kifanyike kwenye uchumi

Tutaniane mambo ya vyama ila kwenye ishu Kama hii ambayo inatuathiri wote ndugu na jamaa zetu

Mambo yakiwa magumu serikali itaamua kutangaza kupunguza wafanyakazi wake itakuwaje?

Hata ukishangilia serikali ikianza kukusanya kidogo toka kwa wafanyabiashara na makampuni namaanisha watapunguza wafanyakazi wake
 
Huhitaji kuwa na PhD kuweza kuona kuwa ule uamuzi wa kuondoa pesa kwenye mabenki ya biashara abruptly kabla hata ya kupewa muda kuadjust business plans zao za miaka mitatu au mitano mbele ulikuwa ni uamuzi mbaya na unahitaji riverse ya haraka.

Mabenki ni wadau wa maendeleo, ikianguka benki moja inayoperform vizuri haiwezi kuwa replaced na nyingine kwa muda mfupi, lazima kuna shockwaves fulani katika uchumi lazima zitatumwa!

Lakini miaka kadhaa iliyopita Monetary Policy ya nchi ilibase zaidi kwenye kucontrol pesa kupitia kodi, kutoza kodi hiki, kuongeza kodi kwenye hiki na kile kitu kilichoshusha purchasing power ya watu kuua biashara na kufanya maisha yawe magumu.

Lakini sasa naona wameamua kucontrol mzunguuko kupitia viwango vya riba vya fedha kwa kushusha viwango hivyo, Hii ni njia nzuri zaidi maana haiendi kuondoa pesa katika mifuko ya watu.

Mimi nasema JPM asione aibu, aende akawachukue washauri na wataalamu wa uchumi wa JK afanye nao kazi!, Siyo aibu wala kosa, Sisi sote ni Watanzania tunajenga nyumba ileile!!
 
Back
Top Bottom