Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
Waheshimiwa, habari za leo. kitu nitakachoongea hapa niko serious kabisa, na ninaomba wale wenye uelewa wanipe ushauri wao kuhusu hili.
Nina mpango wa kujenga kituo cha Tv kuanzia mwakani, hilo ni wazo linalonisumbua muda mrefu sasa. kwasasa siko nchini, ila nitarudi home kuanza maisha ya home sweet home mwakani. kuna jamaa yangu alishawahi kunidokezea kuwa, ukitaka kuanzisha kituo cha tz Dar es salaam, kwasasa haiwezekani, ati unaambiwa "viwanja vimeisha", i am still ignorant hadi sasa, na bado ninafanya utafiti kabla ya kuingia kwenye iyo kitu, ndo maana nikaweka hili swali. hadi mwakani nitakuwa na uelewa wa kutosha kuhusiana na kitu hicho bila shaka.
hivi viwanja vinavyosemwa ni vya aina gani, na je, kama hivyo viwanja, sijui milango etc, vinahusuje kwa tv station za ki analogy na zile za digital...mainjinia tafadhali saidia hapa. JE, ITAWEZEKANA KUPATA NAFASI KUANZISHA KITUO HAPO DAR KWA SASA?
pia naomba kuuliza, kisheria, taratibu zipi natakiwa kufuata A -Z kama kuna mtu anayefahamu hili. najua itabidi nimuone mwanasheria ili awe mwanasheria wangu kwa muda wote kuanzia kipindi hicho, na anaweza kunipa taratibu zote, isipokuwa ni bora kufahamu ili nijue kile mwanasheria atakachokuwa ananifanyia, nisiliwe hela mambo madogo pengine. nitashukuru sana kama nikipata mawazo yenu. asante.
Nina mpango wa kujenga kituo cha Tv kuanzia mwakani, hilo ni wazo linalonisumbua muda mrefu sasa. kwasasa siko nchini, ila nitarudi home kuanza maisha ya home sweet home mwakani. kuna jamaa yangu alishawahi kunidokezea kuwa, ukitaka kuanzisha kituo cha tz Dar es salaam, kwasasa haiwezekani, ati unaambiwa "viwanja vimeisha", i am still ignorant hadi sasa, na bado ninafanya utafiti kabla ya kuingia kwenye iyo kitu, ndo maana nikaweka hili swali. hadi mwakani nitakuwa na uelewa wa kutosha kuhusiana na kitu hicho bila shaka.
hivi viwanja vinavyosemwa ni vya aina gani, na je, kama hivyo viwanja, sijui milango etc, vinahusuje kwa tv station za ki analogy na zile za digital...mainjinia tafadhali saidia hapa. JE, ITAWEZEKANA KUPATA NAFASI KUANZISHA KITUO HAPO DAR KWA SASA?
pia naomba kuuliza, kisheria, taratibu zipi natakiwa kufuata A -Z kama kuna mtu anayefahamu hili. najua itabidi nimuone mwanasheria ili awe mwanasheria wangu kwa muda wote kuanzia kipindi hicho, na anaweza kunipa taratibu zote, isipokuwa ni bora kufahamu ili nijue kile mwanasheria atakachokuwa ananifanyia, nisiliwe hela mambo madogo pengine. nitashukuru sana kama nikipata mawazo yenu. asante.