wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Salamu kwenu..
Poleni na changamoto za corona, naamini mnazingatia taratibu za afya pamoja na zile za asilia kama vile kupiga nyungu.
Miaka hii karibia 5 sasa ya utawala wa Rais magufuli pamoja na hila janga la corona vimenifanya niwaze juu kuwa mwanapropaganda.
Nimeona ndugu yangu Pascal Mayalla ameelekea uelekeo huu pia ingawa yeye haji ni inspire, kwa namna anavyojipambanua kwa sasa naona akielekea kuwa nguli pamoja udhibiti mkali anaoupata humu jamvini.
Nachoomba kwenu ni msaada wa
1. Vitabu vya kusoma
2. Kuwajua wanaproganda mashuhuri
3. Machapisho gani na nayapataje
4. Nipo tayari kuwa mentored na yeyote yule ambaye anadhani yupo vizuri.
Nawashukuruni.
Sent using iphone pro max
Poleni na changamoto za corona, naamini mnazingatia taratibu za afya pamoja na zile za asilia kama vile kupiga nyungu.
Miaka hii karibia 5 sasa ya utawala wa Rais magufuli pamoja na hila janga la corona vimenifanya niwaze juu kuwa mwanapropaganda.
Nimeona ndugu yangu Pascal Mayalla ameelekea uelekeo huu pia ingawa yeye haji ni inspire, kwa namna anavyojipambanua kwa sasa naona akielekea kuwa nguli pamoja udhibiti mkali anaoupata humu jamvini.
Nachoomba kwenu ni msaada wa
1. Vitabu vya kusoma
2. Kuwajua wanaproganda mashuhuri
3. Machapisho gani na nayapataje
4. Nipo tayari kuwa mentored na yeyote yule ambaye anadhani yupo vizuri.
Nawashukuruni.
Sent using iphone pro max