Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,385
- 95,240
Soma vizuri mkuu Mimi nimechoka kubishana
Si nimetoa sababu kwanini hayadumu
Mimi nilishamaliza kwenye post moja tu ya mwanzo...
Usingeniquote wala nami nisingekuquote...
Soma vizuri mkuu Mimi nimechoka kubishana
Si nimetoa sababu kwanini hayadumu
Mchukue sasa 😹Pole sana mkuu. This is serious na honestly nimekuonea huruma
Mi nakutaka wewe msela msela tutawezana hawa ma chick wabaki na watoto wenzaoMchukue sasa 😹
Wewe mwenyewe umesema kuwa ni side chick
Side chick ni malaya
Au nakosea?
Unaweza kwa uzoefu wangu mabinti wa kileo wako kinyume sana na hayo.Ukifanya hivyo utakuwa lone among millions,jamaa ataona uko the best .Atahisi kuchonga beehive after testng honey.Kila wakati atakuwa anaimba HONEYYyy na wewe utampa vibunooo afu mtaitikia pamoja,,,polo,polo,poloooo.Italeta tafrani yaani frustration.
Mimi nilishamaliza kwenye post moja tu ya mwanzo...
Usingeniquote wala nami nisingekuquote...
Nyenyekea
Mfaham ye anataka nini pia ni vitu gani ambavyo hua hataki...
Uwe unajishusha sana kwake pia pendelea kumsifia na kumpongeza pare anapofanya jambo zuri bira kujari kafanya kwa jamii au kakufanyia wewe
Hao wanaume wote si huwa mnakuwa na mahusiano ya kingono?Wapi wanasema side chick ni malaya
Ngoja kwanza wewe si una mwanamke wako labda mpo serious ukatamani mwanamke mwingine mkawa na mahusiano uko nae na hujamwambia Kama una mtu sasa utamwitaje dada wa watu malaya
Namaanisha nimeingia kwenye mahusiano na mtu katikati ya mahusiano nikagundua kuwa huyo mwanaume ana mwanamke mwinginee kabla yangu sasa hapo Nafasi yangu si nitajihesabia mimi kanifanya mchepuko wake
Sijajua malaya inatokea wapi mkuu au Mimi ndio sijui definition ya side chick
Nakuambia ,fanya hivyoutakuja kunipa zawadi.wewe jamaa
Usifanye hili,ogopa.Utabaki kulia lia na kuomba pesa za matumizi ya mtoto kutokea mbali kama mashuti ya Azizi KiMzalie mtoto.
Mzalie mtoto.
Njoo kwangu madam npo single.
Njoo u enjoy
Us
Usifanye hili,ogopa.Utabaki kulia lia na kuomba pesa za matumizi ya mtoto kutokea mbali kama mashuti ya Azizi Ki