ANGALAU ISIPUNGUE 3.8Wadau mambo vp?
Mim nataka niwe lecturer na ninasoma bachelor of science with education vp nahitaji GPA ya ngapi ivi??
3.5 and above , otherwise njoo kitaaWadau mambo vp?
Mim nataka niwe lecturer na ninasoma bachelor of science with education vp nahitaji GPA ya ngapi ivi??
Ili uwe lecture unatakiwa uwe na gpa isiyoshuka 3.5 kwaio upate hapo na kuendeleaa apo ndo unauwez wa kuwa hivo na ten ni ktk mithn yko yote mpk utapomaliza chuoWadau mambo vp?
Mim nataka niwe lecturer na ninasoma bachelor of science with education vp nahitaji GPA ya ngapi ivi??
Malecturer wenyewe hawa visirani visiranUtoto raha sana..
Dogo wewe soma nanjitahidi kufaulu to your maximum level huwezi kukadiria kupata gpa
Ni 3.8 over. Ndo maana vyuo vingi vina upungufu wa ma lecterer.Ili uwe lecture unatakiwa uwe na gpa isiyoshuka 3.5 kwaio upate hapo na kuendeleaa apo ndo unauwez wa kuwa hivo na ten ni ktk mithn yko yote mpk utapomaliza chuo
Angalau uwe na 3.8 kupanda. Ila kutokana na kuwa wengi wanazipata hizo 3.8 yakupasa jiweke kwenye 4.2-5.Wadau mambo vp?
Mim nataka niwe lecturer na ninasoma bachelor of science with education vp nahitaji GPA ya ngapi ivi??
3.8 na sio 3.53.5 and above , otherwise njoo kitaa
Ni 3.5 mkuu3.8 na sio 3.5
Umenikumbusha utoto naitwa Dokta kwa kusolve maswali magumu na kila nikiulizwa napenda kuwa Nani najibu Dokta Ila kusoma koote mwisho wa siku na debit na kucredit HahahahahaUtoto raha sana..
Dogo wewe soma nanjitahidi kufaulu to your maximum level huwezi kukadiria kupata gpa
...mkuu nakuchek pm unipe ka ushauri kidogoUmenikumbusha utoto naitwa Dokta kwa kusolve maswali magumu na kila nikiulizwa napenda kuwa Nani najibu Dokta Ila kusoma koote mwisho wa siku na debit na kucredit Hahahahaha
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Hongera kwenye hiyo fieldUmenikumbusha utoto naitwa Dokta kwa kusolve maswali magumu na kila nikiulizwa napenda kuwa Nani najibu Dokta Ila kusoma koote mwisho wa siku na debit na kucredit Hahahahaha
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
umenifanya nicheke sanaa!Angalau uwe na 3.8 kupanda. Ila kutokana na kuwa wengi wanazipata hizo 3.8 yakupasa jiweke kwenye 4.2-5.
Je umejiandaaje usipoipata hiyo kazi?
Au chuo ni Cha familia yenu?