Akienda advance kwa kipindi hiki haitakua rahisi kutoboa hadi udaktari anaweza kuishia kua mwalimu wa chemistry na biology au physics maana usipopata division one udaktari utaishia kuusikia tuushauri ni kwamba, UDAKTARI au hata kuwa NESI ni wito.... ukiwazia mshahara utakata tamaa ya kazi.
Lakini pia nakishauri kama una nafasi ya kuendelea na masomo ya advance nenda kasome huko kwanza kisha utafika tu ngazi ya chuo.
Kwa siku hizi form four kupata clinical officer ni Ndoto,, maana Tanzania hii vyuo vya serikali si zaidi ya vitano.Samahani wakuu Mimi nimemaliza kidato cha nne nataka nikasomee diploma ya clinical officer naomben ushauri kama inafaa pia kuhusu ajira na mshahara wake ukoje kwa sasa.
Thankx
Samahani wakuu Mimi nimemaliza kidato cha nne nataka nikasomee diploma ya clinical officer naomben ushauri kama inafaa pia kuhusu ajira na mshahara wake ukoje kwa sasa.
Thankx
mara nyingi wanao taka short cut ni wenye uwezo mdogo. Kama unajiamini O leve unasimamisha one ya 9, 10 au 11 unaenda zako Kibaha, Ilboru, Mzumbe or Tabora boyz unapiga PCB hapo udaktari utaenda mapema tu usipofanya mapuuzaushauri ni kwamba, UDAKTARI au hata kuwa NESI ni wito.... ukiwazia mshahara utakata tamaa ya kazi.
Lakini pia nakishauri kama una nafasi ya kuendelea na masomo ya advance nenda kasome huko kwanza kisha utafika tu ngazi ya chuo.
na ndio maana advance asiende kuuza sura, akasome kweli yani msuli temboAkienda advance kwa kipindi hiki haitakua rahisi kutoboa hadi udaktari anaweza kuishia kua mwalimu wa chemistry na biology au physics maana usipopata division one udaktari utaishia kuusikia tu
Ni kwelimara nyingi wanao taka short cut ni wenye uwezo mdogo. Kama unajiamini O leve unasimamisha one ya 9, 10 au 11 unaenda zako Kibaha, Ilboru, Mzumbe or Tabora boyz unapiga PCB hapo udaktari utaenda mapema tu usipofanya mapuuza