Google acha uvivu au nenda pale feli kawauloze wale wavuvi watakuwa wanajuwa tuWakuu natumai mko wazima,
Msaada wenu wakuu hizi kazi za ubaharia zinapatikana wapi?
Na unatakiwa uwe na elimu gani?
natamani nikafanye kazi katika meli za nje.
kama kuna baharia au mjuzi humu ndani anielekeze.
Ahsante.
Pilot wa usiku kuendesha ndege za usiku za wafipa kule au pilot wa ndege hizi za abiliNa mimi nataka kuwa pilot ngoja tusubiri majibu
Zote mkuuPilot wa usiku kuendesha ndege za usiku za wafipa kule au pilot wa ndege hizi za abili
Nyoosha maelezo
mkuu nmekuPM..Mkuu katika meli kuna vitengo tofauti katika huo ubaharia kuna fundi umeme,engeneer, fire safety sasa wewe inatakiwa uwe na fani moja kati ya hizo na unaposoma course za ubaharia hapo ukiwa na fani mojawapo ni rahisi kupata kazi..Cape Town ndio ilikua rahisi kupata kazi za ubaharia ukiwa na vyeti au kazi za meli kwa Africa hii..au cheki na hizi oil Rig zinazochomba mafuta baharini au almasi kama de beers huwa wanaajiri pia..angalia katika website zao..
Mkuu na hii Enginerring Watch/Radar ipoje? Naona ni kozi w wiki 6. Ni nzuri?Mkuu katika meli kuna vitengo tofauti katika huo ubaharia kuna fundi umeme,engeneer, fire safety sasa wewe inatakiwa uwe na fani moja kati ya hizo na unaposoma course za ubaharia hapo ukiwa na fani mojawapo ni rahisi kupata kazi..Cape Town ndio ilikua rahisi kupata kazi za ubaharia ukiwa na vyeti au kazi za meli kwa Africa hii..au cheki na hizi oil Rig zinazochomba mafuta baharini au almasi kama de beers huwa wanaajiri pia..angalia katika website zao..
Mfuate Le mutuzWakuu natumai mko wazima,
Msaada wenu wakuu hizi kazi za ubaharia zinapatikana wapi?
Na unatakiwa uwe na elimu gani?
natamani nikafanye kazi katika meli za nje.
kama kuna baharia au mjuzi humu ndani anielekeze.
Ahsante.
Mkuu unaonajw hii koz ya Engineering Radar/Watch?Mkuu kozi za ubaharia zinatolewa na chuo cha DMI posta,zipo kozi fupi na kozi za muda mrefu.Hizi kozi fupi zipo za wki moja,mbili,mwezi na kuendelea,kozi ya awali inaitwa mandatory coarse ambayo inajumuisha kzi ndogo ndogo kama PST,PSSR,SSA,Tanker familization,First Aid na FIRE Prevention hizi kozi anasoma mtu yoyote yule anaejua kusoma na kuandika sababu hutolewa kwa lugha ya kiswahili na kingereza(mandatory coarse).Kozi za muda mrefu zinachukua miaka miwili(astashahada),mitatu(stashahada) na minne(shahada) uwe umemaliza form four,form six na kufaulu au uwe na astashahada,stashahada inayoendana na vigezo vyao.
Kwenye meli unaweza kuwa upande wa engine au deck inategemea na wewe ulichosomea,kufanya kazi kwenye meli za nje inawezekana mkuu wapo ma-agent wanaohusika na hizo inshu.
Kwa melezo zaidi nenda chuoni.