Nataka kuvunja ndoa msaada wa ICT plz.

Nataka kuvunja ndoa msaada wa ICT plz.

Majaribu2013

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
952
Reaction score
1,050
Kwanza awali ya yote nisingependa kutukanwa au kukebehiwa na mtu hapa, ni saa tisa usiku sasa sijalala nawaza sana juu ya ndoa yangu. Machungu noliyonayo ni zaidi ya machozi ya damu. Kabla ya kuomba msaada nieleze kisa kwanza.

Mimi ni mwanaume mwaminifu sana ambaye sijui mke wa nje kabla ya kuoa na baada ya kuoa miaka 3 sasa. Katika muda huu hatujafanikiwa kupata mtoto baada ya mimba ya kwanza kuharibika. Nilikuwa nampenda sana mke wangu kwa muda wote wa ndoa lakini kumbe ni mzinzi. Sipendi nimdhuru yeye, wala hawala yake wala maisha yake lakini siwezi kuishi na mke anayetoka nje ya ndoa, uchunguzi wa awali umenihakikishia unyama anaonifanyia lakini nahitaji vithibitisho kwa kufikia uamuzi wa kuvunja ndoa.

Msaada: naomba watalaam wa ICT wanisaidie haya
1.Wanifundishe kuhackle akaunti ya facebook ya mke.wangu.
2. Kutrack sms, simu na location ya simu ya mke wangu.

Najua ni makosa kisheria lakini nahitaji kupata hizi data ili zinisaidie kumdaka na kupata ushahidi wa wazi. Mpaka siku nilipojua siwezi tena kuishi na mwanamke huyu zaidi ya hapo nitakuja kumchinja usiku bure.

Naomba niwasilishe hoja, lakini kabla hujacomment fikiria nimeteseka sana na maumivu usiku kucha, sina mtu wa karibu wa kumpa suala langu zaidi nikaona nitupie hapa JF, hebu sasa heshimu mawazo yangu ukoment kitu cha maana na nisingependa ushauri wa ndoa zaidi naomba ujuzi huo hapo juu.

Majaribu2013 hoi kitandani Dar salama.
 
Pole sana mkuu,napata picha uchungu ulionao.Ngoja wataalamu waje.
 
Mkuu pole sana aisee, dunia ya sasa waaminifu ni wachache sana yani ni
ishu.

So ulijuaje kama huna evidence? Huenda mtu kakwambia ili aharibu ndoa yenu, take care na maamuzi yako
 
Mkuu pole sana aisee, dunia ya sasa waaminifu ni wachache sana yani ni
ishu. So ulijuaje kama huna evidence? Huenda mtu kakwambia ili aharibu ndoa yenu, take care na maamuzi yako

Tunapisema evidence katika ndoa siyo maneno hayo ya kuambiwa au kuona kwa sms nk ni mpaka umkamate hiyo ndo evidance
 
Pole sana.
Huo ushahidi usio wa wazi ni upi labda? Ili tuone labda huo pia unaweza kufaa kwa wewe kutimiza adhima yako.
 
Pole sana kaka lazima ujichunguza kwanza mwenyewe wewe ni jembe na linajua kutifua kweli kweli kama uko poa fanya ivi take at easy kumbuka uoga ni dhambi chukua maamuzi huu tafuta mwanamke mwingine songa mbele usiangalie walimwengu watasema nn
 
sms na facebook chat za hawala yake

Pole sana Kaka. Kuchukua uamuzi mgumu kama talaka ni kunahitaji ushahidi usiocha shaka. Sms hazitoshi, kama kweli mkeo ana hawala weka mtego wa fumanizi utamnasa tu. Najaribu kujiweka kwenye nafasi yako, inauma sana kuibiwa aisee!
 
sms na facebook chat za hawala yake

Ok, kama ni huobhautoshi mkuu, unapaswa kufanya fumanizi. Ngoja wataalamu wa eneo hilo waamke wakusaidie.
Lkn usifanye maamuzi ya haraka, usiiache hasira ikusaidie kuamua, angalia pia ww umechangia vp ktk hali hiyo (kama sio tabia yake asilia), nayahisi maumivu unayopata lkn nenda taratibu tu ndg yangu.
 
Pole sana kaka lazima ujichunguza kwanza mwenyewe wewe ni jembe na linajua kutifua kweli kweli kama uko poa fanya ivi take at easy kumbuka uoga ni dhambi chukua maamuzi huu tafuta mwanamke mwingine songa mbele usiangalie walimwengu watasema nn

Moto hauzimwi kwa majani.makavu mkuu
 
Ok, kama ni huobhautoshi mkuu, unapaswa kufanya fumanizi. Ngoja wataalamu wa eneo hilo waamke wakusaidie.
Lkn usifanye maamuzi ya haraka, usiiache hasira ikusaidie kuamua, angalia pia ww umechangia vp ktk hali hiyo (kama sio tabia yake asilia), nayahisi maumivu unayopata lkn nenda taratibu tu ndg yangu.

ndo maana nikasema nahitaji ushahidi wazi yaani fumanizi
 
Kama ana simu ya mfumo wa android ichukue na install find my friend kwenye handset yake kupitia 91 luncher naku hide kutoka menu. hizi zote uta download through google pray ni free. na pia utazi download kwako na kuziunganisha pia uta hide notification kwenye cm yake. Pole sana
 
Mpaka ndoa kuvunjwa inahitaji ushahidi mkubwa sana wa kuonesha kuwa haiwezi lekebishika. Hakikisha unamkamata ugoni ili iwe raisi kwako.
Nb: umeisha wai fikiria jinsi mtakavyo gawana mali mlizo chuma baada ya ndoa???
 
Pole sana mkuu, ninafahamu umeumia kiasi gani kwa sababu tatizo ulilo nalo ndio exactly tatizo nililo nalo na mimi kanitendea hivyo hivyo tofauti tu ni kwamba ndoa yangu mimi ya zaidi ya miaka kumi.

Ushahidi katika mambo ya uziznzi sio wa wewe mwenyewe kuona kwa macho maana anajificha kadri awezavyo na kuweka wapelelezi ili usi/nisi-mwone. Kwa wengine jambo linawekwa wazi kwako/kwangu linfichwa sana.

Kwa kweli sina cha kukushauri ila nitafuatilia thread hii ili nami "nichabo" ushauri utakaotolewa na wengine.
 
Zote zinawezekana siwezi kuweka hapa coz kuna watu mamburulaz wa mulugo wataitumia vibaya....inauma sana(by mizambwa)

====================
Ukipata Ujumbe wa Chuki Matusi Futa Delete Kabisa.
====================
 
Ngojea ninyooshee ukweli naojua mimi..
Sisi wanaume tuna tatizo sana nadhani Mie nilikuwa Kiongozi. Hakuna kitu inayomuuma mbaba kama kusikia mwanamke anayemwita mkewe kuna watu wanampandia huwa inauma zaidi ya uchungu Wa pakanga- frankly it pains a lot.

Mie nilipatwa Na maumivu hadi yakanipa wakati mgumu, ukichukulia mywife anafanya Kazi Za night shift Basi balaa, ukichukua cm yake utachoka, ukiendesha Na Kufanya Suprise visit ofcn kwake mid-night sometimes unakuta hayupo cm off. Nikapiga mkwara aache job naye akachimba bit Kama vipi nitoe talaka.

Sometime niliwaza kufanya vinasaba (DNA) Kwa Watoto to identify whether I am the real fadher. Nikachukua doc Kwa mwanasheria msobe Msobe hadi Ocean-Road hsp Kwenye dpt yake but on the way nikawaza how if I found SIO itakuwavipi Na jinsi navyowapenda wanangu can I handle?. Nakaachilia mawazo ile.

Nilishaorganize ndugu zake Na wazazi wanisaidie waowenyewe walichemsha. Imagine unafanya Suprise visit mid-night, kisha wanakwambia mkeo Leo yuko off au shift yake ni mchana Na SIO Mara moja Wala mbili , ukimuuliza simple anakujibu usimfuatilie Na Kazi . Ukiwaza kumpiga chini unawazia pia mstakabali wa Watoto Na heshima yako Mbele ya jamii.

Sina nia ya kukwambia my things Bali tu elewa unaposikitikia jambo wengine walishalia machozi ya Damu. Then lastly I got an idea, Kwamba Kama wanaume wenzangu wanachonga penseli zao humo kwani kichongeo wanakivunja? Waache wachonge wapendavyo maadam kichongeo Kina nguvu ok. Hapo nikawa flexible, nakumbuka was 2008. Then from that time nikapush Kwenye maendeleo sikuwa Na stress tena
 
Kama ana simu ya mfumo wa android ichukue na install find my friend kwenye handset yake kupitia 91 luncher naku hide kutoka menu. hizi zote uta download through google pray ni free. na pia utazi download kwako na kuziunganisha pia uta hide notification kwenye cm yake. Pole sana

Hana androad simu
 
Back
Top Bottom