Brakelyn
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,181
- 522
Ubuntu ni windows kama ilivyo Windows XP, windows 7, Mac OS na kadhalika!
Ubuntu ni Operating system, ukitaja 'windows' ni operating system ingine...
Ubuntu ni windows kama ilivyo Windows XP, windows 7, Mac OS na kadhalika!
Mkuu kama unataka kutumia simu yako kama ni Modem ya kuunganisha baina ya Computer au laptop yako na internet tumia njia yangu hiii hebu soma hapa chiniNaomba msaada wa program itakayoniwezesha kutumia simu yang kama moderm. Nakumbka kuna wakati msela wang alinpa nimeisahau ilikuwa na uwezo wa kutumia simu yoyete ile kukonect na internet. Naomba msaada wana JF nimepen maujanja simu yang n nokia
Nilikuwa natumia Nokia PC Suit lakin sasa hivi inazingua inanambia Nokia Cable driver not installed lakin nikicheki nokia cable driver iko installed so ndo maana natafuta program nyingne.
Ukiinstall wine kwenye ubuntu inakupa mazingira ya kuinstall programs za microsoft ndani ya ubuntu.. Unaezaweka ms office nkNa vile vile sio kitu cha kurecomendia mtu kirahisi rahisi kama vile ubuntu ni software hapana ni OS. na pia ina itaji ujuzi au mafunzo kidogo ili uweze kuimaster coz ni mfumo tofauti kabisa na windows ni vyema ubakie na windows 2 coz kule utajichangaya but anyway UBUNTU ni free kabisa na unaweza ipata hapa Download | Ubuntu vile vile jinsi ya kui set up mpaka uweze tumia na pia software zake nitofauti na hizi ambazo umezizoea na huwezi ukainstall software ya windows kule ata kama ndio kuna emulators lakini mpaka uweze kumaster na kuitumia lazima upewe maelezo kina na expert au njia nyigine ambao wengi tunatumia ni kuinstall UBUNTU alongside windows yani uwe na Operating System mbili workstation yako iwe Windows but utumie Ubuntu kama sehemu ya kucopy files kutoka kwa watu na kwenda kwa watu coz viruses hawa tunaowajua au wenye kutake effect kwenye Windows ni sawa sawa na corrupt file au file lisilotumika kule na kuwa na no funtion and can be easily spotted and deleted. Hayo ni mawazo yangu 2