Tafadhali naomba yeyote mwenye ufahamu huo anisaidie kwa kunijulisha taasisi za elimu zinazoaminika ambapo naweza kujiunga na kusoma kozi niitakayo online. interest yangu ni kwenye masuala ya sheria,mazingira,mipango na uchumi.
Wewe kweli utingo...umekuwa na msaada sana kwa abiria kama mimi. Wewe utakuwa utingo wa ndege tu. Maana utingo wa vyombo vingine vya usafiri hawana msaada
Wewe kweli utingo...umekuwa na msaada sana kwa abiria kama mimi. Wewe utakuwa utingo wa ndege tu. Maana utingo wa vyombo vingine vya usafiri hawana msaada