Nataka kurisiti (PCM)naomba ushauri

Nataka kurisiti (PCM)naomba ushauri

edgar90

Senior Member
Joined
Jun 18, 2016
Posts
145
Reaction score
116
Habarini wanajamii forums,

Mimi ni mwalimu ,Huu mwaka nilikua na mpango wa kwenda kusoma,sasa Ndalichako nae kaja na yake 3.5GPA hakuna aliyepata chuo cha diploma ya elimu.

Sasa nimeona nirisiti lakini nikiangalia matokeo ya form six waliorisiti ni balaaa ,wengi PCM wamepata ziro!! Sasa nafikiria jinsi ya kupambana na mtihani hasa practicals na materials mengine laa sivyo nitastaafia na diploma jamani!!

Naombeni ushauri.
 
Kweli mkuu wewe ni PCM mwenzangu.
Ni "ushauri" au "Ushauli"?
 
Acha Ku Reast tumia cheti cha form 4 kasome Certificate utakuja kuunganisha Diploma utapoteza Hela bure PCM nomaa
 
maisha cio degree..maisha ni jinsi unavyoweza kupambana na mazingira kuingiza cha kununua kitoeo...kitaa degree nyingi zinacheza draft na kujiajiri kwenye betting tu...wewe tafuta hela kusoma baadae
 
maisha cio degree..maisha ni jinsi unavyoweza kupambana na mazingira kuingiza cha kununua kitoeo...kitaa degree nyingi zinacheza draft na kujiajiri kwenye betting tu...wewe tafuta hela kusoma baadae
Ahsante mkuu
 
Habarini wanajamii forumn?
Mimi ni mwalimu ,Huu mwaka nilikua na mpango wa kwenda kusoma,sasa ndalichako nae kaja na yake 3.5GPA hakuna aliepata chuo cha deploma ya elimu
Sasa nimeona nilisiti lakini nikiangalia matokeo ya form six waliolisiti ni balaaa ,wengi PCM wamepata ziro!! Sasa nafikilia jinsi ya kupambana na mtihani hasa practicals na materials mengine laa sivyo nitastaafia na deploma jamani!! Naombeni ushauli haisee
Una umri gani? Na lengo kubwa la kurest ni lpi
 
Habarini wanajamii forumn?
Mimi ni mwalimu ,Huu mwaka nilikua na mpango wa kwenda kusoma,sasa ndalichako nae kaja na yake 3.5GPA hakuna aliepata chuo cha deploma ya elimu
Sasa nimeona nilisiti lakini nikiangalia matokeo ya form six waliolisiti ni balaaa ,wengi PCM wamepata ziro!! Sasa nafikilia jinsi ya kupambana na mtihani hasa practicals na materials mengine laa sivyo nitastaafia na deploma jamani!! Naombeni ushauli haisee
What is your vision
 
Habarini wanajamii forumn?
Mimi ni mwalimu ,Huu mwaka nilikua na mpango wa kwenda kusoma,sasa ndalichako nae kaja na yake 3.5GPA hakuna aliepata chuo cha deploma ya elimu
Sasa nimeona nilisiti lakini nikiangalia matokeo ya form six waliolisiti ni balaaa ,wengi PCM wamepata ziro!! Sasa nafikilia jinsi ya kupambana na mtihani hasa practicals na materials mengine laa sivyo nitastaafia na deploma jamani!! Naombeni ushauli haisee

Be yourself! Usiseme eti waliore-seat for PCM wengi walipata ZERO.

Mimi nilisoma PCB kwenye shule ambayo haina historia ya kufaulisha hiyo combination tajwa na nikascore Physics ''D'' , Chemistry ''A'' & Biology ''A''.
Nimeendelea na chuo. Hivi sasa ni PHARMACIST.

You can be anything you wanna be in your life. Only strong desire, determination and commitment can pave the way to your destiny.

Don't be despaired!
 
Back
Top Bottom