Nataka kurisiti (PCM)naomba ushauri

Nataka kurisiti (PCM)naomba ushauri

Nina miaka27 Mimi ni mwalimu napenda kuendelea mbele na elimu yangu degree, pH,master,proffers nk
Kwa mmi mtazamo wangu kama utaweza..anza diploma ya engineering unayoitaka..ila kuptia form six tena ndugu itakubana...uzuri wa diploma unaweza kuwa unasoma huku unatafuta maisha bado
 
Ukisoma Diploma itakua kama cover kama utashindwa kufikisha GPA ya 3.5. Kuliko kurisiti na kufeli.
 
Ukisoma Diploma itakua kama cover kama utashindwa kufikisha GPA ya 3.5. Kuliko kurisiti na kufeli.
Hiyo diploma naweza kusoma kama open university? Yaani nikawa naendelea na kazi? Na nawezaje kujiunga? Naomba unifafanulie tafadhali
 
Kwa mmi mtazamo wangu kama utaweza..anza diploma ya engineering unayoitaka..ila kuptia form six tena ndugu itakubana...uzuri wa diploma unaweza kuwa unasoma huku unatafuta maisha bado
Naweza kusoma deploma huku nikiwa kwenye majukumu yangu ya kazi? Na application zake zipoje?
 
Naweza kusoma deploma huku nikiwa kwenye majukumu yangu ya kazi? Na application zake zipoje?
Hyo inawezekana japo ujue itakuchukua miaka mi 3 ukianzia certfct..ila uwezekano wake navoona ni kwa wwe mwnyw kujarbu kubalnc hzo ratba mbili...applctn yake ingia nacte.go.tz jaribu kufwatlia
 
Habarini wanajamii forums,

Mimi ni mwalimu ,Huu mwaka nilikua na mpango wa kwenda kusoma,sasa Ndalichako nae kaja na yake 3.5GPA hakuna aliyepata chuo cha diploma ya elimu.

Sasa nimeona nirisiti lakini nikiangalia matokeo ya form six waliorisiti ni balaaa ,wengi PCM wamepata ziro!! Sasa nafikiria jinsi ya kupambana na mtihani hasa practicals na materials mengine laa sivyo nitastaafia na diploma jamani!!

Naombeni ushauri.
achana na PCM fanya advanced diploma ya ualimu then post graduate yeyote
 
Foundation course utasoma yale masomo ya combination yako kwa miezi mitano approximately ukifaulu unaenda degree ni mirahisi naona wa PCM wanaifaulu tu.
Naomba namba yako kama hautojali
 
Hiyo mitihani unajiungaje ?
Ofisi zao zipowapi?
NBAA ( Bodi ya wahasibu) ipo mtaa wa akiba DSM, ipo karibu na Tanganyika library( katikati ya CBE na tangayika library au bodi ya manunuzi ipo barabara ya nyerere karibu na wizara ya maliasili, mpingo house, kwa taarifa zaidi nenda kwenye website zao
 
Foundation course utasoma yale masomo ya combination yako kwa miezi mitano approximately ukifaulu unaenda degree ni mirahisi naona wa PCM wanaifaulu tu.
Mi nna mdogo angu Diploma lower Second class na A level principal pass 1 afanyeje?
 
Back
Top Bottom