Nataka kupiga chini huyu mwanamke

Wewr
Seems uko na chuki kali zidi ya waliosoma ndio maana kwenye kila sentensi unaandika neno "Msomi" ndio maana nikatumia Brutal force zidi ya chuki yako.

Kuniita mimi Nina chuki na darsa la saba ni ujinga baada kufokea ujinga wako ndio unanirudishia kwangu be humble usioende kudharau kundi la watu mpaka mkeo muda wote msomi msomi yeye alishawai jiita msomi kwanini usimu-adrress Kama mkeo tu msomi msomi what essence.

Wasomi kutokua na pesa maendelea non of their business hakuna mahara waaliosoma wamewahi kujiita wasomi na kujenga matabaka watu Kama ninyi wa hovyo muache uyo mwanamke oa asiesoma kwani ujawaona msomi msomi kwanini na wewe hukusoma
Wewe unachuki binafsi stop tal
Sasa kama hutaki msaada wake kwanini unalala mika mvivu,
Uvivu ni haramu
 
Ebwana baada ya kuuchoka ubachela nikaona nivute goma binafsi elimu yangu ni university dropout so sina professional but sijutii maana niliosoma nao wengi ganga njaa tu, so nilijikita kwenye kusafiri na biashara kibishi sana and it took so long kujitafuta so nilipo fika early 30's nilikuwa vizuri tu sema nilikuwa sitaki kuoa ili niufaidi ujana kutokana kwamba ujana wangu mwingi nilikuwwa mpambanaji so sikuzichakata vizuri but mwaka jana mwanzoni wazee wakaniweka mtu kati nioe.

Sikuwa na jinsi but mtihani ukaja nimuoe nani maana madem zangu wote kila nikiwapima naona sio wife material bas kuna dem mmoja I know her kwa mda mrefu kidogo kwao ni financially stable na pia ni msomi ndio alikuwa amemaliza masomo ya nje ya nchi mwanamke mzuri kwelikweli pia alikuwa mkubwa kiumri maana alikuwa abv27 so nikajaribu karata yangu bwana kama zali vile mtt akajaa kwenye 18 ukizingatia nilikuwa willing kuoa.

Sikulaza dam nikatoa mahali na kufunga harusi chapu by then dem ndio alikuwa intern.

Mambo yamebadilika sana baada ya kuoa binafsi nilipenda sana kuoa mwanamke msomi as mimi sio msomi ili iwe motivation kwa makid wangu lakini pia kwenye uchumba huyu manzi alinishawishi maana alikuwa anajituma hata kwenye kazi ndogondogo za hom lkn pia aliniweka kwenye mstari maana mimi ni bad spender mpaka home wakasema huyu ndio mwanamke sasa msomi kwelikweli na anajielewa (sitoongelea fani yake lkn ni very hotcake).

Baada ya kuoa sasa mambo nilio yakuta ni opposite aisee kwanza uvivu huu alionao sijawahi kuuona tangu nizaliwe we have a kid lkn huyu kid kawa wa beki tatu manzi anachat tu na tiktok asubuhi mpaka jioni, chaajabu sasa hataki kutafuta kazi kisingizio eti anawito wa biashara nikimuangalia kwa huu uvivu biashara hawezi lkn pia biashara sio kigezo cha kuto kufanya kazi na kwa fani yake kama atafanya kazi hawezi kulipwa chini ya m3 sasa simuelewi sijui karogwa huyu manzi?

Mimi ni mtu wa safari lkn anawivu sana anaona nikisafiri nitatamani madem wa nje aisee nashindwa kumuelewa. Yaan nimeoa msomi alafu kageuka kuwa mama wa nyumbani WTF🖕🏻

Wadau uwanja ni wenu nipige chini au nifanye nn kifungo kikubwa ni ndoa bwana tena ya kanisani.
Hapo tatizo liko kwako mzee Kama mwanamke hataki kuajiriwa na anapenda akae nyumbani uliajiri house girl wa nini? Kwa hiyo umemuoa ili ashinde huko tiktok weka msimao muondoe house girl, akikuuliza na wewe muulize majukumu yake Kama mama wa familia ni yapi kesi solved
 
Hapo tatizo liko kwako mzee Kama mwanamke hataki kuajiriwa na anapenda akae nyumbani uliajiri house girl wa nini? Kwa hiyo umemuoa ili ashinde huko tiktok weka msimao muondoe house girl, akikuuliza na wewe muulize majukumu yake Kama mama wa familia ni yapi kesi solved
🤣🤣 umesomeka mkuu...sio kosa langu nilijua akimaliza internship ataanza kazi chaajabu akaghairi offa ya kazi akaamua kukaa tu
 
Jukumu la kulea familia ni wewe
ni kweli lakini haimaanishi mwanamke ndio awe wa kukaa tu sio kweli mzee. Sikimbii majukum na hata akichakalika siwezi kutegemea mshahara wake lakini Sijalelewa hivyo bi mkubwa hakusoma lakini alikuwa mchakalikaji. Uvivu ni haramu
 
Mbona mimi sijaona sababu za kutosha za kuumuacha huyo mwanamke

Tuliza akili ongea na dada zake kama hakuelew
Kakaa mwezi ulioisha tu baba mkwe aliniweka kikao anauliza mbona binti hafanyi kazi na wamemsomesha kwa gharama nyingi..alikuwa anahisi labda mm ndio namzuia kufanya kazi nikakosa jibu..
 
1-drop out=hakumaliza(?),
2-kukosa proffession=moja kwa moja hakupata kwa sababu ali-drop out.
Tumuelewe ingawa amejinasibu ni msomi.
Nadhani hujasoma vizuri mimi sina profession chuo sikumaliza..haimaanishi mimi ni mjinga kama huyo limbukeni anayedhani kuwa na degree ndio akili..pili sijajinasibu kama msomi binafsi nina exposure kubwa tu japo sina degree na nimesafiri nchi zaidi ya kumi before hata my 30's so usichanganye madesa hapo kaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom