Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Katika Masha yngu nimetokea kuchukia Anasa tena sana. na kipindi hiki nimefikia umri ambao nilazima niowe...nimemaliza masomo kazi sina. nimehangaika sana..ila huu huangaika nipate chochote na ninachopata kinanitosha mimi mwenyewe binafsi. naombeni ushauri nifanyeje?
Kama unafeel kuoa oa tu, akili mbili sio moja my broda! mtasaidiana tu, ila kumbuka wewe ni kichwa na unatakiwa kujiandaa hivyo sio kutegemea fadhila za utakaye muoa.... go for it my broda go go go