Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,284
Reaction score
39,491
Habar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume

Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
 

Attachments

  • A81EBAF3-3C79-458B-BA09-300F3C2B3F88.jpeg
    17.4 KB · Views: 109

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…