Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?

BROKE BOYS

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
13,244
39,157
Habar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume

Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
 

Attachments

  • A81EBAF3-3C79-458B-BA09-300F3C2B3F88.jpeg
    17.4 KB · Views: 89

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…