BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,244
- 39,157
Jiandae kulishwa chaki na mifutio ukimzingua.
OA
Unaoa mke au mwalimu?
Unaoa mwanamke au unaoa ualimu ?
Wako poa tu kama tuwaonavyo kitaa
Duh! Angalau Leo sio chura mwananguAna hela?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe taaluma yako ni ipi mrembo ?Kumbe siku hizi kudumu ama kutodumu kwenye ndoa inategemea na profession ya mtu? sikujua hili nilidhani inategemea na mtu mwenyewe.