Nataka kuoa mrembo wa KIMERU

Status
Not open for further replies.
Andaa na sanda yako kabisa...chezea wameru wewe...kama hujapigwa mapanga utakula ile sumu ya mamba unakunywa leo unakufa baada ya miezi sita....tuulize kaka yetu alifanywaje tukupe story za hao wasing'isi
 
To be honest wameru ni wazuri sana kwa kila kitu "UKIWA HUJAMWEKA NDANI" once ukioa tu imekula kwako...hawa wanaoana wao kwa wao wanawezana...lasivyo tembea na sanda mfukoni
 
Utajijua nyambaf

nidhambi kama zingine kutukanana jamani,atamtu akiandika pumba jua kashikwa na shetan muelimishe kistaarab ukimtukana nyote mnakosea na mnatenda dhambi nyote.tubadilike unless watu watakimbia jf
 
Sijazungumzia tabia, nataka kujua taratibu zao zikoje kwenda kuonana na wazee na wanatakaga nn??

Sasa si umuulize huyo mkeo mtarajiwa ili akawaulize wazee then akupe majibu?humu wako watu wengi watakuchanganya tu na wengine kukupa maudhi.Kiutaratibu Demu wako ndo atakwambia nini kinahitajika na kwa kiasi gani..but cha kwanza ni mapipa yasiyo pungua 7 ya mbege,mbuzi (atakwambia idadi) n.k
 
Ni sawa kuoa MMERU, mm ni mmeru na angallia jina langu hapo halafu uwakumbuke wakurdi wa kule Iraq ambao ndio walisababisha Sadam Kunyongwa. Ishu ni kuwa kwanza wanawake wa kimeru ni Wakali, kwa hilo jiandae, pili hawataki longolongo katika maisha ni kama wachaga tu uhakikishe unatulia na kutafuta hela. Hawana uswahili. na kama ni ishu ya ni namna gani uende kwao

Tafuta mtu yoyote ambae atakuakilisha kama mshenga
Then mtaenda na kujitambulisha endapo ni siku ya kwanza/ japo siku hiyohiyo mnaweza kueleza nia yenu yaani kuoa- hapo kama una hakika mtazungumizia juu ya kuoa utapeleka KIRERENGO- Hii ni pombe kama debe 12 kwa ajili ya kueleza nia yako, kama ni walokole huwa ni soda creti kadhaa, hapo ishu ya menu upande wa mke wanaandaa.
Then mtapatana mahari kikawaida ni ngombe anayitwa SIIKYI huyu ni ngombe jike ambae hajazaa ila anakaribia kubeba mimba na huwa wanaequate kwa fedha ambapo mwaka 1996 alikuwa 60,000 so sasa hivi ni kama laki 2.Ukishatoa hiyo andaa harusi yako na kama ukafanya harusi ndugu yangu utaaga umasikini -wanajua kuzawadia hao ogopa

ila
kama unataka kuoa kienyeji chukua mzigo weka ndani then kesho yake tuma mtu akaseme fulani yuko kwako wasimtafute na mtu huyo huyo anaweza kuongea kwa kuyamaliza na wazee bila complication yyt, njia hii hutumiwa sana siku hizi na kwa wazazi wengine anakuambia sitaki mahari yako ila mkaishi vizuri. Ila sasa wameru wanapenda sana shehere za harusi

karibu unywe Loshoro bhana
Mkuu, hawakeketwi hawa?
 
Ni sawa kuoa MMERU, mm ni mmeru na angallia jina langu hapo halafu uwakumbuke wakurdi wa kule Iraq ambao ndio walisababisha Sadam Kunyongwa. Ishu ni kuwa kwanza wanawake wa kimeru ni Wakali, kwa hilo jiandae, pili hawataki longolongo katika maisha ni kama wachaga tu uhakikishe unatulia na kutafuta hela. Hawana uswahili. na kama ni ishu ya ni namna gani uende kwao

Tafuta mtu yoyote ambae atakuakilisha kama mshenga
Then mtaenda na kujitambulisha endapo ni siku ya kwanza/ japo siku hiyohiyo mnaweza kueleza nia yenu yaani kuoa- hapo kama una hakika mtazungumizia juu ya kuoa utapeleka KIRERENGO- Hii ni pombe kama debe 12 kwa ajili ya kueleza nia yako, kama ni walokole huwa ni soda creti kadhaa, hapo ishu ya menu upande wa mke wanaandaa.
Then mtapatana mahari kikawaida ni ngombe anayitwa SIIKYI huyu ni ngombe jike ambae hajazaa ila anakaribia kubeba mimba na huwa wanaequate kwa fedha ambapo mwaka 1996 alikuwa 60,000 so sasa hivi ni kama laki 2.Ukishatoa hiyo andaa harusi yako na kama ukafanya harusi ndugu yangu utaaga umasikini -wanajua kuzawadia hao ogopa

ila
kama unataka kuoa kienyeji chukua mzigo weka ndani then kesho yake tuma mtu akaseme fulani yuko kwako wasimtafute na mtu huyo huyo anaweza kuongea kwa kuyamaliza na wazee bila complication yyt, njia hii hutumiwa sana siku hizi na kwa wazazi wengine anakuambia sitaki mahari yako ila mkaishi vizuri. Ila sasa wameru wanapenda sana shehere za harusi

karibu unywe Loshoro bhana
Mtoa majibu naomba ufafanuzi siku ya kwanza nawza kwnda na mshikaji wngu kujitambulisha tu? au lazima nitafte mzee niende naye? mana hapa naongea nipo njiani ndo naenda
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom